Mkiambiwa Uchawi (Ushirikina) Makao Makuu yake ni Barani Afrika muwe mnaelewa tafadhali

 
Kenya waongo sana hao
 
 
Duu, kuna ugonjwa uliwahi kutokea Germany miaka 1500s (inajulikana kama dancing plague) ambapo watu walianza kucheza mziki pasipo kuacha, yani alianza mtu mmoja akaambukiza wengine mara mji mzima watu wanacheza mziki. Watu walikuwa wanasakata rhumba 24/7 mtu anaacha pale anapokufa. Yani watu walisakata rumba non-stop.
Mpaka leo haijulikani nini kilikuwa chanzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…