Mkiambiwa wahuni hawafai uongozi, yafaa kuelewa

Halafu kule bungeni yamejaa majitu fulani kazi yao kusifia tu ooh mama ameniletea kwangu bilioni....haijawahi kutokea!
 
Kali ni kubadilisha grid nzima ya Umeme ,yaani nyaya zote zinafumuluwa halafu zinafungwa nyengine mpya kwa trilion kadhaa swali la kujiuliza hizi nyaya za umeme huwa nazo zinachoka ?hapana bali kilichopo zimeungwa vibaya.kuungwa vibaya ndio tufumue grid yote,si palekebishwe palipoungwa vibaya.
Tusichoshane as long nakula na nalala salama .
 
Mnakoseaga sana kumuita Makamba Jr kijana wakati ana miaka 51. Mwigulu Nchemba ana 60 mnamuita kijana. Acheni hizo.

Hata Pascal Mayalla mtamuita kijana?
Makamba ni wa January 1974, Mwigulu pia ni wa 1974-75 hao wote bado vijana wameingia mapema katika mfumo, Wameanza kula kuku wakiwa na umri mdogo.
 
Hii serikali ni ya wapigaji.. sidhani kama hata barabara moja itajengwa kwa mtindo huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…