Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mie nawakula tu bila hela hasa ukute ex anaelewa showEti wanakuwaga na huruma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kaka hawanaga huruma sema umekuja na mihela ndio wanakupa mbunye.
Huna hela ata mlikuwa mmeacha vizuri huoewi papuchi ng'oo
Kwahiyo mtu umuache kwa amani ili ukimmiss tu uombe game, mambo ya ajabu sana, mambo ya kwenda na kurudi sio msimamo, kama unasonga mbele songa ili unaemuacha nae apate mtu atakae mjaliWengi hasa vijana wamezoea kuachana kwa matusi na kila mmoja kusema mabaya ya mwenzake kwa watu lakini hujui yawezekana siku moja ukajikuta umempigia magoti ex wako unaomba akupe hata kimoja tu.!
Uzi tayari.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] We jamaa, mambo ya diplomasia kwenye mapenzi ni utopoloHakunaga kuachana kwa amani. We tafuta pesa achana na Mambo ya diplomasia
Hakuna kuachana kwa amani.
Kuachana kwa amani,au genye zilikusumbua? Inategemea nn kimefanya mtenganeWengi hasa vijana wamezoea kuachana kwa matusi na kila mmoja kusema mabaya ya mwenzake kwa watu lakini hujui yawezekana siku moja ukajikuta umempigia magoti ex wako unaomba akupe hata kimoja tu.!
hata huyo demu wako mpya kuna lijamaa somewhere likisoma upuuzi wako hapa linajichekea tuu hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiijapo najua kuna boya anamiliki kwa sasa maana dalili naziona ila
ndio mana hata mchizi aliyemuacha demu wako mpya nae hata hakumtakia maneno mbofu mbofu ili siku akijisikia kupasha kiporo anagusa tuu kitu waaahwala usimtamkie mabaya muache kwa amani siku ukijiskia kummisi itakuwa rahisi kukupa mbunye
Yan unaendelea kutoa zigoKuachana kwa Amani kupoje?... Yaani tuendelee kuwasiliana na kuuulizana habari za wenza wapya?
.NO NEVER
Unaonaje kimyaa kinyaa kwa binadamu mwenzako uliyelala nae kitanda kimoja? Nakukumbusha, kwa huyo mwanamke unayeanzisha mahusiano nae leo ambaye kesho atakua kinyaa kwako tayari huyo ni X wa mwenzako leo.Huwa sirudii kula matapishi ,kwangu ni kinyaa sana
Pole sana mkuu,mm nilifungua utepe mwenyewe hivyo ukimkula umekula matapishi yangu ,Unaonaje kimyaa kinyaa kwa binadamu mwenzako uliyelala nae kitanda kimoja? Nakukumbusha, kwa huyo mwanamke unayeanzisha mahusiano nae leo ambaye kesho atakua kinyaa kwako tayari huyo ni X wa mwenzako leo.
Wengi hasa vijana wamezoea kuachana kwa matusi na kila mmoja kusema mabaya ya mwenzake kwa watu lakini hujui yawezekana siku moja ukajikuta umempigia magoti ex wako unaomba akupe hata kimoja tu!
Msaidie huyu naona Bado Kuna mambo hajayaelewaUkiacha acha kabisa mkuu usirudie.
Najaribu kuwaza kwa sauti,Siku ukaja kuoa demu ambaye kaachana kwa amani na ex wake.
Wengine unaokuta washafunguliwa??Pole sana mkuu,mm nilifungua utepe mwenyewe hivyo ukimkula umekula matapishi yangu ,
Kupanga ni kuchagua
Bahati njema sina kihelehele cha nyegezi utopolo namna hiyo mkuuWengine unaokuta washafunguliwa??