Mkibambwa na mtoto mna nanihii mtamfanyaje

Mkibambwa na mtoto mna nanihii mtamfanyaje

huna haja ya kusema kitu, kwani hiyo chumamboga, miguno na
"kilio" atachokikuta humo mwenyewe atatoka nduki!
 
GT kuna vitoto vingine vidadisi sana. ukiwa na cha aina hiyo kinaweza kisitoke na kuanza kuwahoji mnafanya nini. Hahaaaa usicheze na watoto bwana....I love em to death though
 
duh! mtoto aking'ang'ania na kuanza kuleta stori
itabidi mdingi uwe mkali tu na kumtimua, maelezo baadae.,
manake mtoto wa design hiyo lazima akuhoji tuu.
 
Si busara kuwa mkali kwa mwanao kwa vile tu kakubamba unakula uroda. Uzembe ni wako so just take your medicine and be careful the next go around...
 
ukiwa mkali psychological una mwaribu thn zuga au vunja ukimya pindi aulizapo.
Hii imenikumbusha tory 1 ilikuwa baba anamazoea ya kuoga na mwanae sku 1 akauliza baba hii nn?baba karoti. sku nyengine na mama mama hiya nn.mama bustani.dogo akarizika siku 1 wanakula mezan dogo akaanzisha mada baba kwann usiwe upanda karoti yko kwenye bustani ya mama.?
Unafiri baba atamjibu nini apu!
 
duh! mtoto aking'ang'ania na kuanza kuleta stori
itabidi mdingi uwe mkali tu na kumtimua, maelezo baadae.,
manake mtoto wa design hiyo lazima akuhoji tuu.
Kumtimua siyo tatizo, ni uwezo wake tuu. Angalia effect kwa mtoto.
 
Si busara kuwa mkali kwa mwanao kwa vile tu kakubamba unakula uroda. Uzembe ni wako so just take your medicine and be careful the next go around...

Fikiria effect ya hicho kitu kwa mwanao.
 
ukiwa mkali psychological una mwaribu thn zuga au vunja ukimya pindi aulizapo.
Hii imenikumbusha tory 1 ilikuwa baba anamazoea ya kuoga na mwanae sku 1 akauliza baba hii nn?baba karoti. sku nyengine na mama mama hiya nn.mama bustani.dogo akarizika siku 1 wanakula mezan dogo akaanzisha mada baba kwann usiwe upanda karoti yko kwenye bustani ya mama.?
Unafiri baba atamjibu nini apu!
Acha bwebwe!!! mbavu zetu ni chache!!
 
Fikiria effect ya hicho kitu kwa mwanao.

Effect yake si traumatising kihivyo. Wangapi wamewabamba wazazi wao wakiwa wanakula uroda na wako poa tu!?

Mimi mwenyewe nimeshawahi kuwasikia wadingi wakiwa wanapeana utamu wakati nikiwa mdogo. Ingawa sikuuliza walikuwa wanafanya nini nilielewa halafu nikajinyamazia tu na hakuna effect yoyote niliyoipata.

Kwenye familia yenye watoto hayo mambo hutokea sana.
 
effect yake si traumatising kihivyo. Wangapi wamewabamba wazazi wao wakiwa wanakula uroda na wako poa tu!?

Mimi mwenyewe nimeshawahi kuwasikia wadingi wakiwa wanapeana utamu wakati nikiwa mdogo. Ingawa sikuuliza walikuwa wanafanya nini nilielewa halafu nikajinyamazia tu na hakuna effect yoyote niliyoipata.

Kwenye familia yenye watoto hayo mambo hutokea sana.

lakini sasa je tunyamaze kwa kuwa ni jambo la kawaida??. Unajua anaweza kuwasimulia wenzake na wakapata maarifa ambayo si sahihi. Nafikiri kama ni mtoto mkbwa mwombeni radhi na kama ni uzembe wake kuingia bila kubisha hodi basi mtajua nini cha kufanya.
 
mwambie tuna tengeneza mdogo wako
hahahah hapo ndipo mtamuharibu kabisaaa manake watoto wanapenda sana watoto, hivyo na yeye ataenda kumtafuta mwenzake watengeneze mtoto.
 
agrrr miaka 8 bado mdogo bn haelewi kitu kabisaaa
tema mate chini miaka 8 ni mkubwa mno mimi wangu ana miaka 7 ananisimulia tamthilia kama nimeikosa anajua kila kitu kwenye tamthilia na anaelezea utadhani mtu mzima watoto wa siku hizi wako exposed sana hata mikatuni yao sometimes inachakachuana
 
ukiwa mkali psychological una mwaribu thn zuga au vunja ukimya pindi aulizapo.
Hii imenikumbusha tory 1 ilikuwa baba anamazoea ya kuoga na mwanae sku 1 akauliza baba hii nn?baba karoti. sku nyengine na mama mama hiya nn.mama bustani.dogo akarizika siku 1 wanakula mezan dogo akaanzisha mada baba kwann usiwe upanda karoti yko kwenye bustani ya mama.?
Unafiri baba atamjibu nini apu!

ha ha ha ha! We kinnya...
 
Effect yake si traumatising kihivyo. Wangapi wamewabamba wazazi wao wakiwa wanakula uroda na wako poa tu!?

Mimi mwenyewe nimeshawahi kuwasikia wadingi wakiwa wanapeana utamu wakati nikiwa mdogo. Ingawa sikuuliza walikuwa wanafanya nini nilielewa halafu nikajinyamazia tu na hakuna effect yoyote niliyoipata.

Kwenye familia yenye watoto hayo mambo hutokea sana.

nafikiri haujawa muwazi. Unaona hilo tukio bado unalikumbuka hadi leo. Na si ajabu lilikuwepo kichwani mwako kipindi chote cha utoto wako.
Ndio effect yenyewe hiyo. Sio hadi ubabuke ngozi ndio uone ni effect.
 
Effect yake si traumatising kihivyo. Wangapi wamewabamba wazazi wao wakiwa wanakula uroda na wako poa tu!?

Mimi mwenyewe nimeshawahi kuwasikia wadingi wakiwa wanapeana utamu wakati nikiwa mdogo. Ingawa sikuuliza walikuwa wanafanya nini nilielewa halafu nikajinyamazia tu na hakuna effect yoyote niliyoipata.

Kwenye familia yenye watoto hayo mambo hutokea sana.
Mh we nae kwa umbea, si ulijiahidi mwenyewe hutakaa umwambie mtu kama uliwaskia madingi, hee mbona umewatangaza sasa, utasutwa.
 
Kwa ukweli tukubaliane maswali mengine hua hayana majibu, jibu la swali kama hili linapatikana ile siku mmekutwa na mtoto. Mtoto akisha wafuma ndo mtapata kigugumizi then ujasiri najibu hapohapo, kwa sasa unaweza sema ntafanya hivi au hivi, laki ni mpaka itokee ndo jibu litajileta lenyewe.
 
Hayo kwanza kabisa ni namna mnavyomlea hoyo mtoto wenu kwani wazazi wengi ni wasiri sana hata hawapendi watoto wao wajue uhusiano wao wazazi ukoje mpaka walale kitanda kimoja au chumba kimoja kwa taarifa tu siku hizi mtoto wa miaka minane hafichiki mambo ya ninihii hivyo mkibambwa naye ni kuzungumza naye kwa upendo na kumuliza alikuwa anahitaji nini chumbani kwenu mnamtekelezea shida yake halafu mnaendelea na inakuwa safi tu na yenye uhuru mwingine tena na hiyo inamuelekeza kuwa si vizuri kwenda chumbani kwa baba na mama kama wote wapo chumbani.
 
mtakaa kimya tu cz atatoka mwenyewe fasta tena kwa mbio ndefu kabla ata amjafikilia la kusema/kufanya
 
Back
Top Bottom