GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa wale Watu wa Mpira Wenzangu hasa mnaokuja kucheza Ndodo na Mechi za Veteran Kinesi na Barafu ni matumaini mnamjua huyu Mchezaji wa Geita Gold FC ni Mnazi tukuka wa Klabu gani Kubwa hapa Tanzania.
Baada ya kuona tumeshtukiwa Kuhonga Marefa na Timu kama Timu sasa tumekuja na Mbinu mpya Mbili ya Kujipigisha Shoti (Kucheza Rafu Makusudi ili upewe Red Card) timu yako iwe dhaifu na ya Pili Mchezaji wa Timu Pinzani mkiwa Uwanjani na akikuona Unakaza / Unakomaa mno anatumwa (anaagizwa) na Watu wa Benchi (waliopewa Mgawo) kuwa Hela yako imeshaingizwa na Muamala unasoma sasa.
Fanyeni mipango yenu GENTAMYCINE nikiwa sipo ila nikiwa nipo hivi hakuna Ujanja au Mbinu Chafu (ya Kimafia) ambayo mtaifanya hata kwa Siri Mimi nisijue / nisiijue.
Hovyoooooooo.......!!!!!!!
Baada ya kuona tumeshtukiwa Kuhonga Marefa na Timu kama Timu sasa tumekuja na Mbinu mpya Mbili ya Kujipigisha Shoti (Kucheza Rafu Makusudi ili upewe Red Card) timu yako iwe dhaifu na ya Pili Mchezaji wa Timu Pinzani mkiwa Uwanjani na akikuona Unakaza / Unakomaa mno anatumwa (anaagizwa) na Watu wa Benchi (waliopewa Mgawo) kuwa Hela yako imeshaingizwa na Muamala unasoma sasa.
Fanyeni mipango yenu GENTAMYCINE nikiwa sipo ila nikiwa nipo hivi hakuna Ujanja au Mbinu Chafu (ya Kimafia) ambayo mtaifanya hata kwa Siri Mimi nisijue / nisiijue.
Hovyoooooooo.......!!!!!!!