Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Huyu jamaa nimeshapigia mstari sio mwenzetu kabisa tumeshampoteza keshakuwa PAPAI bivu huyuWanawake wenye mimba changa wasiruhusiwe kushika simu jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa nimeshapigia mstari sio mwenzetu kabisa tumeshampoteza keshakuwa PAPAI bivu huyuWanawake wenye mimba changa wasiruhusiwe kushika simu jamani
Mbona unawaonea wivu Geita wewe mrembo? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]Kwa wale Watu wa Mpira Wenzangu hasa mnaokuja kucheza Ndodo na Mechi za Veteran Kinesi na Barafu ni matumaini mnamjua huyu Mchezaji wa Geita Gold FC ni Mnazi tukuka wa Klabu gani Kubwa hapa Tanzania.
Baada ya kuona tumeshtukiwa Kuhonga Marefa na Timu kama Timu sasa tumekuja na Mbinu mpya Mbili ya Kujipigisha Shoti ( Kucheza Rafu Makusudi ili upewe Red Card ) timu yako iwe dhaifu na ya Pili Mchezaji wa Timu Pinzani mkiwa Uwanjani na akikuona Unakaza / Unakomaa mno anatumwa ( anaagizwa ) na Watu wa Benchi ( waliopewa Mgawo ) kuwa Hela yako imeshaingizwa na Muamala unasoma sasa.
Fanyeni mipango yenu GENTAMYCINE nikiwa sipo ila nikiwa nipo hivi hakuna Ujanja au Mbinu Chafu ( ya Kimafia ) ambayo mtaifanya hata kwa Siri Mimi nisijue / nisiijue.
Hovyoooooooo.......!!!!!!!
Kumbe unafurahia kutukanwa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku zote huwa Unanitukana ( tena kwa Kunidhalilisha kabisa ) leo imekuwaje hujafanya hivyo?
Tafadhali kama Umesahau nakukumbusha na naomba Unitukane na Unidhalilishe kwani huwa napenda ukifanya hivyo.
Mbona nyinyi kwenye mechi zenu za ligi kama vile Mtibwa wachezaji wawili walijipigisha red card mkashinda 5 mechi na Prison mchezaji 1 alijipigisha red card mkashinda 7 na kuna nyingine ambazo nimesahau . Dunduka ni dunduka hopelessKwa wale Watu wa Mpira Wenzangu hasa mnaokuja kucheza Ndodo na Mechi za Veteran Kinesi na Barafu ni matumaini mnamjua huyu Mchezaji wa Geita Gold FC ni Mnazi tukuka wa Klabu gani Kubwa hapa Tanzania.
Baada ya kuona tumeshtukiwa Kuhonga Marefa na Timu kama Timu sasa tumekuja na Mbinu mpya Mbili ya Kujipigisha Shoti ( Kucheza Rafu Makusudi ili upewe Red Card ) timu yako iwe dhaifu na ya Pili Mchezaji wa Timu Pinzani mkiwa Uwanjani na akikuona Unakaza / Unakomaa mno anatumwa ( anaagizwa ) na Watu wa Benchi ( waliopewa Mgawo ) kuwa Hela yako imeshaingizwa na Muamala unasoma sasa.
Fanyeni mipango yenu GENTAMYCINE nikiwa sipo ila nikiwa nipo hivi hakuna Ujanja au Mbinu Chafu ( ya Kimafia ) ambayo mtaifanya hata kwa Siri Mimi nisijue / nisiijue.
Hovyoooooooo.......!!!!!!!
Nikwambie tu ukiwa unaoga mtoni halafu chizi akichukua nguo zako nawewe ukaanza kumkimbiza uchi wewe ndio utaonekana chiziSiku zote huwa Unanitukana ( tena kwa Kunidhalilisha kabisa ) leo imekuwaje hujafanya hivyo?
Tafadhali kama Umesahau nakukumbusha na naomba Unitukane na Unidhalilishe kwani huwa napenda ukifanya hivyo.
Wanadai safari hii "ule mto" wa Naija watauvuka, tena kwa kupiga mbizi wala sio na ngalawa.Kwa wale Watu wa Mpira Wenzangu hasa mnaokuja kucheza Ndodo na Mechi za Veteran Kinesi na Barafu ni matumaini mnamjua huyu Mchezaji wa Geita Gold FC ni Mnazi tukuka wa Klabu gani Kubwa hapa Tanzania.
Baada ya kuona tumeshtukiwa Kuhonga Marefa na Timu kama Timu sasa tumekuja na Mbinu mpya Mbili ya Kujipigisha Shoti ( Kucheza Rafu Makusudi ili upewe Red Card ) timu yako iwe dhaifu na ya Pili Mchezaji wa Timu Pinzani mkiwa Uwanjani na akikuona Unakaza / Unakomaa mno anatumwa ( anaagizwa ) na Watu wa Benchi ( waliopewa Mgawo ) kuwa Hela yako imeshaingizwa na Muamala unasoma sasa.
Fanyeni mipango yenu GENTAMYCINE nikiwa sipo ila nikiwa nipo hivi hakuna Ujanja au Mbinu Chafu ( ya Kimafia ) ambayo mtaifanya hata kwa Siri Mimi nisijue / nisiijue.
Hovyoooooooo.......!!!!!!!
Tatizo unamremba remba yaani huyo ni wa kutukana haswa na ni Halali yake namchukia MTU anaechukia mafanikio ya wenzie .Nikwambie tu ukiwa unaoga mtoni halafu chizi akichukua nguo zako nawewe ukaanza kumkimbiza uchi wewe ndio utaonekana chizi
Kama Baba yako.Huyu jamaa nimeshapigia mstari sio mwenzetu kabisa tumeshampoteza keshakuwa PAPAI bivu huyu
Bora Wajinga ( Ignorants ) wengi kuliko Wewe Mpumbavu ( Fool ) Mmoja.imagine yanga kacheza mechi 6 za makundi bila timu yoyote kuwa pungufu na kawanyoosha watu vzuri tena wengine nje ndani huku pira heavy likipigwa AFU MPUMBAVU MMOJA ANAKUJA KUANDIKA HIZI PUMBA..hii nchi wajinga wengi
You're a damn Fool.Nikwambie tu ukiwa unaoga mtoni halafu chizi akichukua nguo zako nawewe ukaanza kumkimbiza uchi wewe ndio utaonekana chizi
PumbavuYou're a damn Fool.
wejinga mpigwe mawe mfe ndo mnachelewesha maendeleo ya hii nchi,ujinga ni chanzo cha umaskiniBora Wajinga ( Ignorants ) wengi kuliko Wewe Mpumbavu ( Fool ) Mmoja.
Hapo mwenyewe ndio unaona umeandikaNgoja waje vyura kutoka marekan kwa mujibu wa Ripoti ya CAG vyura wametengewa bajeti ya kula kwanini "Wasinenepe"
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app