Mkienda Gym ahsubuh malizeni ya ndani kwanza jamani... jamaa kafumania jirani yake na kitaulo kisa Gym

Mkienda Gym ahsubuh malizeni ya ndani kwanza jamani... jamaa kafumania jirani yake na kitaulo kisa Gym

huo muda nyie majirani kwann mlkuwa macho kodo kwa watu ?
 
Usitishe watu hapa. Kwanza hakuna mjinga wa aina hiyo. Unaenda kwa watu saa 12 asubuhi ati kajifunga taulo. Alidhani bafuni?? Ukitufunga kamba hakikisha si manila kwani huteleza ikajifungua yenyewe.
😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom