Usicheke Z.... Kuna watu wabashida.... Inafikia point unajuta kwanini sikumuiwa fulani.... Maana uliyemuowa ni BALAA tupu
Laiti binadamu tungetambua utu ni bora kuliko maliNakandamiza hapo kwenye "kauli"!Kila mmoja achunge sana kauli za kutoa kwa mwenza wake.
Ahahahahaaa hiyo namna ya kupruvu kuwa hauko ndotoni ni kiboko..!!Mbaya sana.Unaweza kujipiga makwenzi ya kichwa ili uhakikishe kama haupo ndotoni.Movie ya kutisha sana!
Shida wakati wa kuwachagua wengine maigizo mengi, hasa mkijua tunataka niniHaahhaahah mnafeli kuchagua
Ndiyo hapo sasa.Ukimkuta mtu ambaye hataki kusumbuliwa(uvumilivu umeisha)anakusomesha plate number barabara ya vumbi spidi 170!Laiti binadamu tungetambua utu ni bora kuliko mali
Hatari sana mkuu.Unakuwa umempenda,umemuamini na kuacha mambo yaserereke kwa ulaini kumbe mweza wako ana mawazo hasi.Unaweza kuchanganyikiwa,kuvua shati na kuanza kuimba nyimbo za kikwenu usiku kucha😂😂😂😂😂😂😂Ahahahahaaa hiyo namna ya kupruvu kuwa hauko ndotoni ni kiboko..!!
Kwanza kabisa siwezi jenga kwenye kiwanja Cha mke wangu. Nitajenga nikishajenga kiwanja changu binafsi hata Kama kwa muda huo sina. Lakini nitatafuta kwa nguvu zote nijenge then nijue lingine.Umekutana na binti mjini Dar, binti huyu wazazi wake ni wanasiasa tangu enzi za chama kushika hatamu. Wana eneo la heka tano na zimezungushiwa uzio.
Mapenzi yenu yameiva mpaka mnaona. Siku ya harusi mbele ya wageni Baba mkwe kwenye hotuba yake anawapa kiwanja ndani ya eneo lake, kwa tambo anasema wajukuu zake wasizaliwe kwenye nyumba ya kupanga.
Baada ya honeymoon mmepewa guest wing muanzie maisha wakati mnajenga. Mmejenga nyumba imekwisha na mmehamia.
Mmekorofishana kidogo na mke, hali halisi ni kuwa wote mna hasira mmoja wenu inabidi aondoke kwa muda. Kati ya wewe na mke wako ataondoka nani?
Sahihi.Anajifanya wife material kumbe down-under ni hopeless material!Unaula wa chuya huku unalazimishwa ushushie na coke!Shida wakati wa kuwachagua wengine maigizo mengi, hasa mkijua tunataka nini
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Umenifanya nicheke na kunikumbusha jirani yangu moja ivi tumepanganae sehemu Moja. Sasa huyu jamaa mke au mchumba wake ndiye aliyepanga yaani mke ndiye analipa Kodi. Siku Moja wakagombana Tena ugomvi ulikuwa mkubwa jamaa akaambiwa sikutaki na uondoke aisee. Mpaka Leo jamaa Bado yupo.Umekutana na binti mjini Dar, binti huyu wazazi wake ni wanasiasa tangu enzi za chama kushika hatamu. Wana eneo la heka tano na zimezungushiwa uzio.
Mapenzi yenu yameiva mpaka mnaona. Siku ya harusi mbele ya wageni Baba mkwe kwenye hotuba yake anawapa kiwanja ndani ya eneo lake, kwa tambo anasema wajukuu zake wasizaliwe kwenye nyumba ya kupanga.
Baada ya honeymoon mmepewa guest wing muanzie maisha wakati mnajenga. Mmejenga nyumba imekwisha na mmehamia.
Mmekorofishana kidogo na mke, hali halisi ni kuwa wote mna hasira mmoja wenu inabidi aondoke kwa muda. Kati ya wewe na mke wako ataondoka nani?
Hatari sanaNdiyo hapo sasa.Ukimkuta mtu ambaye hataki kusumbuliwa(uvumilivu umeisha)anakusomesha plate number barabara ya vumbi spidi 170!
Hahaha we mtuSahihi.Anajifanya wife material kumbe down-under ni hopeless material!Unaula wa chuya huku unalazimishwa ushushie na coke!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mdomo kama woteeNiliwahi kupewa kero na mwenza kwenye nyumba ya kupanga hadi niliamua kusamehe kila kitu na kutokomea mbali huko.Baada ya miaka minne tunaonana na bibie analialia tu na kuomba msamaha ila ilikuwa too late.Nilikuwa namueleza kila mara kwamba vitu anavyoviona havina thamani zaidi yangu na kuna siku nitaondoka na kumuacha yeye na hivyo vitu.Alifikiri natania.Ikawa kweli.Mdomo,mdomo ni kero mnoo!
Jamaa angesepa tuuHa ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Umenifanya nicheke na kunikumbusha jirani yangu moja ivi tumepanganae sehemu Moja. Sasa huyu jamaa mke au mchumba wake ndiye aliyepanga yaani mke ndiye analipa Kodi. Siku Moja wakagombana Tena ugomvi ulikuwa mkubwa jamaa akaambiwa sikutaki na uondoke aisee. Mpaka Leo jamaa Bado yupo.
Ila mwanzo kabla hatujajua chochote alikuwa anajigamba ohoo mke wangu nimemfungulia shop kubwa mwenge, Mimi nafanya kwenye kampuni fulani ivi Bunju.
Siku izi kawa mpole balaa gambo zimeisha.
Kuna mmoja alimpata mdada wa 30+ kanisani. Dada amesoma masters Makerere, ofisini ni head wa department, ana nyumba mbili, Ana mabanda manne ya kuku na kila banda Lina uwezo wa kuchukua kuku 500, ana hiaice mbili za kwenda Bagamoyo.
Kaka alijua amepata kitonga. Alimtamkia mimi ninataka kukuoa. Dada alilia kwa furaha. Kabla ya kuvakishwa pete, yule dada alimwambia hivi vyote ni vyangu. Nyumba zote nitapangisha mimi na wewe tukapange tuanze moja. Ukiwa kama mwanaume ninategemea utakua unachangia kodi kila mwezi.
Mpka Leo yupo mkuu. Kazi yake kuu Sasa ivi Ni kupika, kufua mke anatoka job saa nne usiku. Usiombe yakukute aisee.Jamaa angesepa tuu
Uyo mwanaume hapo aondoke... Au akae kwa machale Sana ajipe mda apange Mambo yake yakikaa sawa apite iviiMpka Leo yupo mkuu. Kazi yake kuu Sasa ivi Ni kupika, kufua mke anatoka job saa nne usiku. Usiombe yakukute aisee.
Mwanaume panga hata kichimba kimoja tu hata Cha elfu 10. Kama Bado Mambo hayajakaa sawa
Hii mbona iko wazi? Mwanaume anachapa mwendo. Huwezi kuleta kibr kwa wakwe!Umekutana na binti mjini Dar, binti huyu wazazi wake ni wanasiasa tangu enzi za chama kushika hatamu. Wana eneo la heka tano na zimezungushiwa uzio.
Mapenzi yenu yameiva mpaka mnaona. Siku ya harusi mbele ya wageni Baba mkwe kwenye hotuba yake anawapa kiwanja ndani ya eneo lake, kwa tambo anasema wajukuu zake wasizaliwe kwenye nyumba ya kupanga.
Baada ya honeymoon mmepewa guest wing muanzie maisha wakati mnajenga. Mmejenga nyumba imekwisha na mmehamia.
Mmekorofishana kidogo na mke, hali halisi ni kuwa wote mna hasira mmoja wenu inabidi aondoke kwa muda. Kati ya wewe na mke wako ataondoka nani?