Mkigombana atakae toka ndani ya nyumba ni nani?

Hivi vitu ndo sipatani navyo...

Bora nijenge nyumba sehemu nyingine hapo nifuge kuku na kuuza mayai...

Kitu chochote kinachoiba nguvu yako Kama baba/kichwa Cha familia Ni hatari kwa afya ya familia.

wanamke Wana dharau by nature, sasa dharau zinalipukaga from no where kama mwanaume Hana malengo,mvivu kufanya kazi na Hana msimamo,wanaume tucheze kote lakini lazima ujue familia inaelekea wapi sio unakaa kindezindezi tu bila focus...
 
Enzi za ukoloni ukifisha miaka 12.kama unavutia na umeshamaliza darasa la nne unaolewa. Ukifisha miaka 16 nyumbani wazazi wanaanza kuwa na wasiwasi
 
Enzi za ukoloni ukifisha miaka 12.kama unavutia na umeshamaliza darasa la nne unaolewa. Ukifisha miaka 16 nyumbani wazazi wanaanza kuwa na wasiwasi


Wewe ulifukuzwa kwenu (kwa wazazi wako) ukiwa na miaka mingapi?
 
Alafu miaka ya sikuhizi sijui nini kimetokea,wanawake wengi wamekuwa wakipata ridhki sana kuliko wanaume.
 
Mke
 
Mume ndiye anatakiwa aondoke, mke aondoke nyumbani aende wapi na watoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…