ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,197
Hivi vitu ndo sipatani navyo...
Bora nijenge nyumba sehemu nyingine hapo nifuge kuku na kuuza mayai...
Kitu chochote kinachoiba nguvu yako Kama baba/kichwa Cha familia Ni hatari kwa afya ya familia.
wanamke Wana dharau by nature, sasa dharau zinalipukaga from no where kama mwanaume Hana malengo,mvivu kufanya kazi na Hana msimamo,wanaume tucheze kote lakini lazima ujue familia inaelekea wapi sio unakaa kindezindezi tu bila focus...
Bora nijenge nyumba sehemu nyingine hapo nifuge kuku na kuuza mayai...
Kitu chochote kinachoiba nguvu yako Kama baba/kichwa Cha familia Ni hatari kwa afya ya familia.
wanamke Wana dharau by nature, sasa dharau zinalipukaga from no where kama mwanaume Hana malengo,mvivu kufanya kazi na Hana msimamo,wanaume tucheze kote lakini lazima ujue familia inaelekea wapi sio unakaa kindezindezi tu bila focus...