Mkimbizi wa kitanzania kutoka Ukrain kurudishwa Afrika

Mkimbizi wa kitanzania kutoka Ukrain kurudishwa Afrika

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Zimedondoka kutoka huko Udachi kuwa mwamba ni miongoni mwa wakimbizi Jero kati ya buku mbili na jiti tatu waliokimbia vita nchini Ukraine.

Hawa jero hawana vinyago vya Ukraine, yaani ni raia kutoka nchi nyingine ambao mambo yaliposanuka huko Ukraine, wakaona hii ni golden chance, harudi mtu Umatumbini. Hivyo wakati wenzao wanakamatia bawa kurudi ma nchini mwao, wao wakaliunga bogi na wakimbizi kuelekea huko Udachi

Sasa pale udachi serikali ikawa inaskuti, nini cha kufanya na wale wahanga. Maana Wadachi wao waliona ni shega tu kuwachukua wale buku mbiki na jiti tatu, lakini haikua tayari kuwachukua wale Jero. Huku na huku swala likafikishwa kwa Pilato ili aweze kulifanyia maamuzi.

Kule kwa Pilato maamuzi yakatoka kwamba huyo Mbongo na wengine jeero wote ambao ni third country, yaani countries other than Ukraine, wanatakiwa kurudishwa kwenye ma maza land yao na kama atataka kuendelea kubaki Udachi baso ni vyema aombe asylum, maana ukimbizi hana sifa.

So, sasa hivi tumemwambia mwana aombe asylum faster.
 
"kurudishwa" - au kapewa fursa ya kuomba asylum?
 
Mkuu Inaonekana uyo mtu unamjua vzuri na unamawasiliano nae vile vile
 
"kurudishwa" - au kapewa fursa ya kuomba asylum?
Hukumu imeamua arudishwe, serikali imetoa fursa. Tumemwambia akamatie fursa.
Kauli za kibabe za viongozi huwa ni ushahidi mzuri sana kwa wasaka asylum. Hawajui tu vile kauli zao zinavyo wapatia fursa vijana wa kitanzania huko nchi za watu.

Ile kauli ya mama Samia ya "Askari wa aliyefunzwa na Chama cha Mapinduzi akikosa risasi 3 lazima awajibike" ile kauli iliwapatia maisha watu aisee huwezi amini. Kuna watu wanaishi kwa ku bet, kuna watu wanaishi kwa sadaka, wengine kwa uchawa, kuna wanaoishi kwa Rushwa, wengine kwa ufisadi pia kuna wanaoishi kwa kauli za kibabe za viongozi. Yaani kiongozi akitishia tu, kuna watu wanaondokea Kenya au Malawi au Zambia au hawarudi.

Huu Mkwala wa IGP Wambura wenyewe nimeona mahala watu tayari wameshauchukua kama ushahidi. Kumbe Watanzania siyo Mafala aisee, wanatumia kila fursa😀
 
Tunamshukuru mama, nani kama mama.

img_1_1691759347158~2.jpg
 
Hukumu imeamua arudishwe, serikali imetoa fursa. Tumemwambia akamatie fursa.
Kauli za kibabe za viongozi huwa ni ushahidi mzuri sana kwa wasaka asylum. Hawajui tu vile kauli zao zinavyo wapatia fursa vijana wa kitanzania huko nchi za watu..
Dahhhh wabongo kwa fursa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hukumu imeamua arudishwe, serikali imetoa fursa. Tumemwambia akamatie fursa.
Kauli za kibabe za viongozi huwa ni ushahidi mzuri sana kwa wasaka asylum. Hawajui tu vile kauli zao zinavyo wapatia fursa vijana wa kitanzania huko nchi za watu.

Ile kauli ya mama Samia ya "Askari wa aliyefunzwa na Chama cha Mapinduzi akikosa risasi 3 lazima awajibike" ile kauli iliwapatia maisha watu aisee huwezi amini. Kuna watu wanaishi kwa ku bet, kuna watu wanaishi kwa sadaka, wengine kwa uchawa, kuna wanaoishi kwa Rushwa, wengine kwa ufisadi pia kuna wanaoishi kwa kauli za kibabe za viongozi. Yaani kiongozi akitishia tu, kuna watu wanaondokea Kenya au Malawi au Zambia au hawarudi.
Huu Mkwala wa IGP Wambura wenyewe nimeona mahala watu tayari wameshauchukua kama ushahidi. Kumbe Watanzania siyo Mafala aisee, wanatumia kila fursa😀

Ulishakuwa ndani yq nchi ki uhalali kupata asylum sio shidq, shida ni kuomba ukiwa nje.
 
Back
Top Bottom