Mkimfunga Mbowe hakuna kiongozi mwingine wa CHADEMA atayehofia au kuona hasara kwenda jela

Mkimfunga Mbowe hakuna kiongozi mwingine wa CHADEMA atayehofia au kuona hasara kwenda jela

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Moja ya athari ya kumfunga Mbowe (iwapo watatimiza nia hio ovu), wajue tu ni kufanya viongozi wote wa CHADEMA waliobalki wasione ni hasara kwa wao kumfuata Mbowe magereza na zaidi itachochea harakati za kudai katiba mpya huku wakiwa tayari kwa lolote.

Msilolijua ni kuwa, kadri mnavyoendelea kuwakamata, mnawafanya waone hio sasa ni sehemu ya maisha yao na matokeo yake hali hii ya kuwakamata hovyo hovyo, sasa inageuka kuwa kichochea cha harakati za kudai demokrasia pamoja na katiba mpya bila hofu wala woga.

Ujasiri wanaoujenga, baada ya muda utahamia kwa wananch(watawaambukiza), na hapo ndio tutakuwa tumefika pazuri katika hizi harakati na haya mapambano.

Mkitaka kujua viongozi wa CHADEMA hawaogopi tena kwenda jela au mahabusu, someni hii tweet ya Patrick Assenga hapa chini:

Asenga.JPG
 
Siyo bongo!

Waliobaki si ndiyo hao sampuli ya akina Lema&Lisu,hao ndiyo wakujileta kufungwa?

Kuwa kiongozi wa upinzani siyo kinga dhidi ya mashtaka,akipatikana na hatia atakula mvua kama kawaida tu na hakuna lolote mtafanya zaidi ya kukimbilia huku JF.

Na si kufungwa tu,hata ikitokea akafia mikononi mwa polisi hakuna mtafanya zaidi ya matamko.

Kilichotokea Kwa Lisu 2017 kama kungekuwepo huo upinzani mnaouota kingeshawaka zamani.
 
Siyo bongo!

Waliobaki si ndiyo hao sampuli ya akina Lema&Lisu,hao ndiyo wakujileta kufungwa?

Kuwa kiongozi wa upinzani siyo kinga dhidi ya mashtaka,akipatikana na hatia atakula mvua kama kawaida tu na hakuna lolote mtafanya zaidi ya kukimbilia huku JF.

Na si kufungwa tu,hata ikitokea akafia mikononi mwa polisi hakuna mtafanya zaidi ya matamko.

Kilichotokea Kwa Lisu 2017 kama kungekuwepo huo upinzani mnaouota kingeshawaka zamani.
Kila jambo na wakati wake
Hata walipozaliwa nduguzo kabla yako,wazazi wako hawakujua na wewe utakuja zaliwa,Bali waliendelea kufanya uzazi kashitukia na wewe umezaliwa.
WAKATI ULIFIKA WA WEWE KUZALIWA.
MENGINE YATATOKEA WAKATI UKIFIKA

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Moja ya athari ya kumfunga Mbowe (iwapo watatimiza nia hio ovu), wajue tu ni kufanya viongozi wote wa CHADEMA waliobalki wasione ni hasara kwa wao kumfuata Mbowe magereza, na zaidi itachochea harakati za kudai katiba mpya huku wakiwa tayari kwa lolote.

Msilolijua ni kuwa, kadri mnavyoendelea kuwakamata, mnawafanya waone hio sasa ni sehemu ya maisha yao na matokeo yake hali hii ya kuwakamata hovyo hovyo, sasa inageuka kuwa kichochea cha harakati za kudai demokrasia pamoja na katiba mpya bila hofu wala woga.

Ujasiri wanaoujenga, baada ya muda utahamia kwa wananch(watawaambukiza), na hapo ndio tutakuwa tumefika pazuri katika hizi harakati na haya mapambano.

Mkitaka kujua viongozi wa CHADEMA hawaogopi tena kwenda jela au mahabusu, someni hii tweet ya Patrick Assenga hapa chini :

View attachment 1886927
Viongozi gani kina mdude? Maaana Lema na Lissu siku nyingi wameishakimbia nyie mmejicha JF na ID.s fake
 
Moja ya athari ya kumfunga Mbowe (iwapo watatimiza nia hio ovu), wajue tu ni kufanya viongozi wote wa CHADEMA waliobalki wasione ni hasara kwa wao kumfuata Mbowe magereza, na zaidi itachochea harakati za kudai katiba mpya huku wakiwa tayari kwa lolote.

Msilolijua ni kuwa, kadri mnavyoendelea kuwakamata, mnawafanya waone hio sasa ni sehemu ya maisha yao na matokeo yake hali hii ya kuwakamata hovyo hovyo, sasa inageuka kuwa kichochea cha harakati za kudai demokrasia pamoja na katiba mpya bila hofu wala woga.

Ujasiri wanaoujenga, baada ya muda utahamia kwa wananch(watawaambukiza), na hapo ndio tutakuwa tumefika pazuri katika hizi harakati na haya mapambano.

Mkitaka kujua viongozi wa CHADEMA hawaogopi tena kwenda jela au mahabusu, someni hii tweet ya Patrick Assenga hapa chini :

View attachment 1886927
Nyamaza! Acheni gaidi apambane na hali yake.
 
Back
Top Bottom