MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Hiyo ni ndoto ya mchana tusubiri kichapo timu yetu haichezi kimkakati1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Dickson Job
5. Kennedy Juma
6. Jonas Mkude
7. Abubakary Salum
8. Feisal Salum
9. Anwar Jabir
10. John Boko
11. Farid Mussa
Tafadhali wanaoanza wawe hawa niliowataja na baadae waingizwe akina Lyanga, Sopu, Mwamnyeto, Kibu na Kibwana.
Farid Mussa na John Boko wasitolewe kwani Kinyota ( Kinujumu ) leo ndiyo wanang'aa na hata Magoli wanaweza Kufunga Wao au Wakasababisha wao.
Tunashinda Leo.
Mech inaanza saa ngap mkuu??1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Dickson Job
5. Kennedy Juma
6. Jonas Mkude
7. Abubakary Salum
8. Feisal Salum
9. Anwar Jabir
10. John Boko
11. Farid Mussa
Tafadhali wanaoanza wawe hawa niliowataja na baadae waingizwe akina Lyanga, Sopu, Mwamnyeto, Kibu na Kibwana.
Farid Mussa na John Boko wasitolewe kwani Kinyota ( Kinujumu ) leo ndiyo wanang'aa na hata Magoli wanaweza Kufunga Wao au Wakasababisha wao.
Tunashinda Leo.
Cha usimbaHuyo Kened Juma hajacheza hata game moja sijui aliitwa kwa kigezo kipi