Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Ifike wakat matokeo ya mpira yaheshimiwe bwana Mwishokambi juzi mmefungwa mbona hujasema Kama Azam wametembeza bahasha
Lakn yanga ikishinda akili yako inawaza bahasha TU nyie ndio mnaoenda uwanjan na matokeo yenu mambo yakigeuka mnachanganyikiwa na kuanza kuvaa chupi kichwan
Yanga hii imekufunga mara 2 mfululizo kupitia AZAM CUP lakn Wala hujasema kuhusu bahasha
Ndyo nakili yanga n ya humuhumu kimataifa bado tunajifunza kupata uzoefu lakn ushind wetu uheshimiwe tafadhari
Hatujafungwa mech 44 had Sasa katika ligi sio Jambo dogo mzee Kama rahis mngefanya ninyi tuone
Juz mlisimama sjui dakika ya 24 kusherehekea yanga kutocheza hatua ya makund kwa miaka 24 mfululizo mkashau kuwa game yenu itawapa uchungu mwishon dhid ya Azam
ILA MGUNDA BONGE LA KOCHA ASEE
Bwana Mwishokambi naona kwa matokeo ya leo huko uliko naona pemben upo na ndimu kabisa
Lakn yanga ikishinda akili yako inawaza bahasha TU nyie ndio mnaoenda uwanjan na matokeo yenu mambo yakigeuka mnachanganyikiwa na kuanza kuvaa chupi kichwan
Yanga hii imekufunga mara 2 mfululizo kupitia AZAM CUP lakn Wala hujasema kuhusu bahasha
Ndyo nakili yanga n ya humuhumu kimataifa bado tunajifunza kupata uzoefu lakn ushind wetu uheshimiwe tafadhari
Hatujafungwa mech 44 had Sasa katika ligi sio Jambo dogo mzee Kama rahis mngefanya ninyi tuone
Juz mlisimama sjui dakika ya 24 kusherehekea yanga kutocheza hatua ya makund kwa miaka 24 mfululizo mkashau kuwa game yenu itawapa uchungu mwishon dhid ya Azam
ILA MGUNDA BONGE LA KOCHA ASEE
Bwana Mwishokambi naona kwa matokeo ya leo huko uliko naona pemben upo na ndimu kabisa