Mkishinda nyie ni uwezo, tukishinda sisi ni Bahasha

Yote kwa yote ni furaha kwa mashabiki.
Kimataifa ni. Kivuli cha kuzugia coz huko mechi ni chache kuliko hapa nyumbani na mbaya zaidi ni huko kimataifa timu zetu hazina malengo ha kufika fainali (kwenye furaha zaidi).
 
Nyie watu ni wapumbavu kweli, mbona sasa hivi Yanga hawapewi hiyo hela ya hoteli?

Hivi unajua kwa nini timu za Ulaya zinapigana kufa na kupona kumaliza hatua za top 4 ili zishiriki UEFA? Unadhani ni ili zikachukue kombe?
Hiyo pesa huwa inaanza kutolewa kwenye stage ya makundi na ni Kwa ajili ya maandalizi ya team..fatilia utapata uhalisia, tumia akili yako vizuri mpumbavu ni wewe mwenyewe
 
Nyie watu ni wapumbavu kweli, mbona sasa hivi Yanga hawapewi hiyo hela ya hoteli?

Hivi unajua kwa nini timu za Ulaya zinapigana kufa na kupona kumaliza hatua za top 4 ili zishiriki UEFA? Unadhani ni ili zikachukue kombe?
Hiyo pesa huwa inaanza kutolewa kwenye stage ya makundi na ni Kwa ajili ya maandalizi ya team..fatilia utapata uhalisia, tumia akili yako vizuri mpumbavu ni wewe mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…