Mkiwa mbele za watu anakua baby kweli kweli ila mkiwa chumbani hataki hata kugusana

Mkiwa mbele za watu anakua baby kweli kweli ila mkiwa chumbani hataki hata kugusana

Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Bas mkuu watakua Kuna mkutano walikaa wakapangq mambo yao maana na mm kama sielew kabsaaa,sasa naona watakua walikutana kweny vikoba wakapanga
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
huyo Simba jike usitake kumfanya nyau nawe kuwa Simba dume case closed.
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒


Hii scenario inahappen pale Tu ambako mwanamke anamzidi kipato mwanaume

Na ubaya zaidi huyo mwanamke anaweza kuwa analiwa na mtu ambae anasapotiwa financial na mke wake haha
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Kivumbi
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Nimechekaa sanaaaa Mkuuuu daaa lkn poleee mkuu ,hawa Viumbe hawa wana mambo hawa
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒

Basi uwe unamwomba hapo hapo mbele za watu. Hawezi kukataa. Mnamalizana mkirudi chumbani ni kulala tu.
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Wanaume tunapitia mengi sana, anyway pole sana
 
Back
Top Bottom