Mko wangapi kwenye familia yenu mnaetumia mitandao ya kijamii?

Joined
Jan 14, 2020
Posts
19
Reaction score
42
Katika familia yangu tuko watu 27 wa baba mmoja ila ni mimi pekee ninayetumia mitandao ya kijamii kuanzia FB, WhatsApp, Jamii Forums na kathalika, je kwenu mpo wangapi wa familia moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…