Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Hivi huyo unaemkaripia umeelewa alichokiandika kweli?au una hangover ya k vant?
Nimemuelewa vyema kuliko unavyofikiria wewe kwanza mimi situmii kinywaji chochote cha kilevi.Sio vyema kutaka kulamisha mawazo yako yafanane na mwingine.Huwezi kandia sehemu ambapo watu wanavuta pumzi na wako ambao ukiwaambia wahame Dodoma hata uwapige bunduki hawakubali
 
Kagera
 
Kwa sisi wapambanaji hakuna penyewe hatuwezi ishi tunaishi popote cha muhimu pesa
 
Popote kusiwe na wanga tu, unalala sumbawanga unaamka masasiπŸ€·β€β™‚οΈ
 
Vp ulijifunza wanga kidogo ?
 
Kagera, lindi, kigoma, simiyu, mpanda na katavi .hayo maeneo napambana sana nisije kuishi huko
Kuna jamaa nimekutana nae kwenye msiba flani ni mhasibu huko Rukwa kaja kula raha jijini anavyopasifia eti Rukwa maisha bure kabisa maharage kilo 700 tu Mahindi debe 5000 maneno meengi nikaona huyu jiji haliwezi.
 
Vp ulijifunza wanga kidogo ?
Hahaha hapana nilichojifunza ni kutega na kula nswa kwenye vichuguu(Kumbikumbi) kula migagi(mabua ya mahindi yakiwa mabichi inakuwa km muwa) uchawi sikuwahi ushuhudia
 
Karibu tena Sumbawanga,usafiri umeimarika sana,waweza kwenda Mbeya na kurudi,fursa nyingi sana sana
Hayo ndo Mambo, mji umekuwa toka enzi za tajiri bhojak na akina Bainz. Nakumbuka Sana Jangwani Inn. Tulikuwa tukikosa maji home Mzee anatupeleka kuchota maji hapo na Mandolini yake, tunapiga na bafu kabisaaa. Hahaha
 
Jau sana lindi
Nilifika Lindi nikielekea Mtwara,pale njiani Ndandahimba sijui Tandahimba niliona vituko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.naona watu wanakimbilia baharini huko kila muda.
Nikauliza hawa wanaenda huko kufanya nini?
Si wakasema wenyeji huko chooni
Jamaa wanaenda kule wanabwaga kimba wanatimua,mawimbi yakija yanaondoka nayo duh nilichoka.
Lindi tukafika hakuna msosi palikua pa hovyo sana.
Fikiria stendi unakosa msosi zunguruka sana mpk tukatafuta taxi atuelekeze ndio kutupeleka nbc club at least tukapata supu kuku.
Mtwara kuna bar nafkiri inaitwa Pentagon ndo tulikua tunashinda hapo,walikua vizuri kwa menyu,huku mahotelini ilikua upuuzi mtupu, vichipsi tomato sauce kibao kipaja unapigwa buku 5.hela nyingi sana miaka hiyo
na ndio msosi wa maana utapata.
At least kwenye ile bar utakuta mbuzi choma , kuku choma, supu na vitu vingi tu.
Expirience yangu huko kusini.
 
Unamdharau bodaboda mkuu?? Kuna jamaa ni bodaboda kwa mwezi anakunja 900k hapo ametoa matumizi yake na kila kitu cha muhimu
We hujaona huu udhi kama una dharau?

So 900k ni pesa kubwa kiivyo?

Nimechukulia boda as general mtu anadharau unamuonesha dharau pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…