NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Nimemuelewa vyema kuliko unavyofikiria wewe kwanza mimi situmii kinywaji chochote cha kilevi.Sio vyema kutaka kulamisha mawazo yako yafanane na mwingine.Huwezi kandia sehemu ambapo watu wanavuta pumzi na wako ambao ukiwaambia wahame Dodoma hata uwapige bunduki hawakubaliHivi huyo unaemkaripia umeelewa alichokiandika kweli?au una hangover ya k vant?
Ulijuaje mbuzi amechinjwa majuma mawili yaliopitaKuna nini pale wanauza mbuz waliohinjwa ?!majuma mawili yaliyopita!??/usile.mombo ukiwa safarini
KageraWakuu habari za weekend. Bila shaka ni shwari kabisa,
Kuna kitu nimewaza kuhusiana na harakati za utafutaji maisha na utulivu wa familia.
Niende kwenye maada husika mi nimebahatika kuishi baadhi ya mikoa hapa TZ bara na visiwani Pemba na Unguja nimeishi zaidi ya miaka 6 huko ukija bara Dar, Tanga, Atown, Tabora, Dom, Moro, Pwani, Shinyanga, Mwanza, Kilimanjaro, Sgd, kwa kuna Mkoa ambao hata nikipewa nyumba na gari siwezi kuishi ni Dodoma.
Yaani huo mkoa umekaa tofauti kabisa na sehemu nyingi nilizo ishi kuanzia kiuchumi, kijamii, kwa wale watumishi waliolenga kustaafia na kuishi huko hakika waishia kupauka na kunywa za pombe za kienyeji maana sioni future endelevu kabisa kwenye huo mjini na miongoni mwa miji yenye asili ya njaa uvivu na ukame kuna miji kama Tanga Moro au hata Mwanza unaweza ishi na familia bila tatizo tofauti huo mji wa Dodoma ambao wakazi wake wamekimbilia Dar na shughuli zao kwenye machinjio ya wanyama huko Vingunguti, Pugu na biashara ya Bucha
Ni wazi tunapambana na kwa ajili ya kujiandalia maisha bora ya sasa na baadae kwako na vizazi vyako hakikisha haukosei wewe pamoja na kukiweka kizazi chako jangwani kitateseka chagua sehemu sahihi ambayo itakufanya uishi kwa furaha. Kizazi chako ukikiweka jangwani kitashindwa kukusaidia hata wewe mzazi uzeeni.
Vp ulijifunza wanga kidogo ?Kuzuri balaa, fikiria mie nimeishi 1979 to 1984 lkn bado napakumbuka Sana pale regional block, katandala, sumbawanga wenyeji, Regina Mundi, chanji, izia, bangwe, jangwani, mazwi nk. Shule yangu Jangwani Primary school, ndugu zangu walisoma sumbawanga primary school na Mama yetu alifundisha hapo. Nakumbuka kanisa katoliki kila jpili tulikuwa hatukosi enzi za Bab askofu Kalolo Msakila alikuwa jemadari haswa. Nakumbuka ule uwanja wa zamani pale karibu na dimba la Nelson Mandera tulikuwa tunaenda angalia mechi kati ya Ujenzi na RTC, Ujenzi wakipigwa bao. Mdau fika uuone uzuri wa Sumbawanga!
Uchawi upo ila ukiwa mtu wa ibada utakuwa na amani na hutosumbuliwa na hizo mamboVp ulijifunza wanga kidogo ?
Duh unaogopa WamweraLindi jamani! Hata nikiwekewa SMG ya utosi
Jau sana lindiDuh unaogopa Wamwera
Kuna jamaa nimekutana nae kwenye msiba flani ni mhasibu huko Rukwa kaja kula raha jijini anavyopasifia eti Rukwa maisha bure kabisa maharage kilo 700 tu Mahindi debe 5000 maneno meengi nikaona huyu jiji haliwezi.Kagera, lindi, kigoma, simiyu, mpanda na katavi .hayo maeneo napambana sana nisije kuishi huko
Hah haha mkuu upo Rukwa niniWewe unaropoka tuu ,unajua hata unachoongea
Hahaha hapana nilichojifunza ni kutega na kula nswa kwenye vichuguu(Kumbikumbi) kula migagi(mabua ya mahindi yakiwa mabichi inakuwa km muwa) uchawi sikuwahi ushuhudiaVp ulijifunza wanga kidogo ?
Hayo ndo Mambo, mji umekuwa toka enzi za tajiri bhojak na akina Bainz. Nakumbuka Sana Jangwani Inn. Tulikuwa tukikosa maji home Mzee anatupeleka kuchota maji hapo na Mandolini yake, tunapiga na bafu kabisaaa. HahahaKaribu tena Sumbawanga,usafiri umeimarika sana,waweza kwenda Mbeya na kurudi,fursa nyingi sana sana
Nilifika Lindi nikielekea Mtwara,pale njiani Ndandahimba sijui Tandahimba niliona vituko πππ.naona watu wanakimbilia baharini huko kila muda.Jau sana lindi
Unamdharau bodaboda mkuu?? Kuna jamaa ni bodaboda kwa mwezi anakunja 900k hapo ametoa matumizi yake na kila kitu cha muhimuUkute ni kinyozi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tu au bodaboda.
We hujaona huu udhi kama una dharau?Unamdharau bodaboda mkuu?? Kuna jamaa ni bodaboda kwa mwezi anakunja 900k hapo ametoa matumizi yake na kila kitu cha muhimu