Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Wewe ni mkulima?Dom pa kingese sana
ukame aka jangwa
anyway, watakwambia unakaa kwa shemeji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mkulima?Dom pa kingese sana
ukame aka jangwa
anyway, watakwambia unakaa kwa shemeji
[emoji23][emoji23][emoji23] hatujawah kuwaacha salama....Nyie ndio mnao watafuna watoto TIA hapo
Kweli kabisa Kaka haujapigwa na maisha, kama umepigwa kisawasawa usiombee utatamani kuishi hata pangoni.[emoji16][emoji16]Umekaa hapo kwa shemej mguu juu unasubir ule chakula cha mchana alaf undelee kuangalia Tv jion ukazurure huku umevaa soks na malapa meupe jion urud uoge usubir chakula cha jion ala uangalie sultan ya azam tv ndo maana unapata ujasiri wa kuandika huu upuzi
Maisha hajakupiga spana bado
kama upepoMaisha popote.
DAR ES SALAAM DAR ES SALAAM DAR ES SALAAMWakuu habari za weekend. Bila shaka ni shwari kabisa,
Kuna kitu nimewaza kuhusiana na harakati za utafutaji maisha na utulivu wa familia.
Niende kwenye maada husika mi nimebahatika kuishi baadhi ya mikoa hapa TZ bara na visiwani Pemba na Unguja nimeishi zaidi ya miaka 6 huko ukija bara Dar, Tanga, Atown, Tabora, Dom, Moro, Pwani, Shinyanga, Mwanza, Kilimanjaro, Sgd, kwa kuna Mkoa ambao hata nikipewa nyumba na gari siwezi kuishi ni Dodoma.
Yaani huo mkoa umekaa tofauti kabisa na sehemu nyingi nilizo ishi kuanzia kiuchumi, kijamii, kwa wale watumishi waliolenga kustaafia na kuishi huko hakika waishia kupauka na kunywa za pombe za kienyeji maana sioni future endelevu kabisa kwenye huo mjini na miongoni mwa miji yenye asili ya njaa uvivu na ukame kuna miji kama Tanga Moro au hata Mwanza unaweza ishi na familia bila tatizo tofauti huo mji wa Dodoma ambao wakazi wake wamekimbilia Dar na shughuli zao kwenye machinjio ya wanyama huko Vingunguti, Pugu na biashara ya Bucha
Ni wazi tunapambana na kwa ajili ya kujiandalia maisha bora ya sasa na baadae kwako na vizazi vyako hakikisha haukosei wewe pamoja na kukiweka kizazi chako jangwani kitateseka chagua sehemu sahihi ambayo itakufanya uishi kwa furaha. Kizazi chako ukikiweka jangwani kitashindwa kukusaidia hata wewe mzazi uzeeni.
Pia muulize hapo dsm anapoishi analima mazao gani?Wewe ni mkulima?
Kuzuri balaa, fikiria mie nimeishi 1979 to 1984 lkn bado napakumbuka Sana pale regional block, katandala, sumbawanga wenyeji, Regina Mundi, chanji, izia, bangwe, jangwani, mazwi nk. Shule yangu Jangwani Primary school, ndugu zangu walisoma sumbawanga primary school na Mama yetu alifundisha hapo. Nakumbuka kanisa katoliki kila jpili tulikuwa hatukosi enzi za Bab askofu Kalolo Msakila alikuwa jemadari haswa. Nakumbuka ule uwanja wa zamani pale karibu na dimba la Nelson Mandera tulikuwa tunaenda angalia mechi kati ya Ujenzi na RTC, Ujenzi wakipigwa bao. Mdau fika uuone uzuri wa Sumbawanga!Sumbawanga!
Ila siyo dodoma ptyuu!!Maisha popote.
kweli iasee umeish.huyo msakila alikua yupo huko eenz za Ufipa rukwaKuzuri balaa, fikiria mie nimeishi 1979 to 1984 lkn bado napakumbuka Sana pale regional block, katandala, sumbawanga wenyeji, Regina Mundi, chanji, izia, bangwe, jangwani, mazwi nk. Shule yangu Jangwani Primary school, ndugu zangu walisoma sumbawanga primary school na Mama yetu alifundisha hapo. Nakumbuka kanisa katoliki kila jpili tulikuwa hatukosi enzi za Bab askofu Kalolo Msakila alikuwa jemadari haswa. Nakumbuka ule uwanja wa zamani pale karibu na dimba la Nelson Mandera tulikuwa tunaenda angalia mechi kati ya Ujenzi na RTC, Ujenzi wakipigwa bao. Mdau fika uuone uzuri wa Sumbawanga!
Kuna nini pale wanauza mbuz waliohinjwa ?!majuma mawili yaliyopita!??/usile.mombo ukiwa safariniSehemu nzuri ya kuishi ni mombo mkoa wa tanga
Wakinga wa makete nao hawataki hata kusikia habari za kurudi makete[emoji28] ndo maana wanapambana ya hela yote. Kolodeness na vilima vya makete sio poa.Pemba unaweza ishi na familia yako salama kabisa
Njombe kuna Hali ya hewa safi sio huko Dar sijui mnapapendea nn.Wakinga wa makete nao hawataki hata kusikia habari za kurudi makete[emoji28] ndo maana wanapambana ya hela yote. Kolodeness na vilima vya makete sio poa.