Mkoa mpya wa Chato washindikana, wadau wataka makao makuu ya mkoa yawe Nyakanazi, Wanachato wakataa wasema bora wabakie Geita

Asante ndugu kwa kumuekewesha huyu bwana mgumu sana kuelewa,asipokuelewa basi
 
Huyu pimbi anaitwa nyakubonga bado anadai eti tuweke ushahidi. Sijui anataka ushahidi gani zaidi ya huu
 
Du! Wameona bora wakose wote.
 
Nyakanazi palivokuwa pori,
Duh!!!
 
Nikukumbushe mkoa huu ungemega maeneo ya wilaya ya Muleba mpaka magarini,wilaya yote ya Ngara, Kakonko na Biharamulo na Chato yenyewe.
Ktk paragraph hii.. mama tibaijuka alipinga vikali kiasi cha kulalama kwamba asili ya wahaya inaenda kupotezwa.
 
Kwanza ni ujinga kumsema marehemu yeyote yule kwa kumtuhumu kwa jambo lolote! Unategemea ujibiwe na nani sasa? Ni hali ya uoga na kutojiamini kabisa!
 
Kwanza ni ujinga kumsema marehemu yeyote yule kwa kumtuhumu kwa jambo lolote! Unategemea ujibiwe na nani sasa? Ni hali ya uoga na kutojiamini kabisa!
Siku ya mazishi ya jiwe nwakiliahi wa wazee wa chato alimkumbusha Sami kuhus hilo
Samia alimjibu kisiasa ila nadhani aliona ni ujinga tu wa mawazo ya jiwe
 
Chato now hapatamaniki
Chato ni kielelezo cha LAANA ambayo Magufuli alileta nchini kwetu. Hiyo ndiyo Gbadolite ya Tamzania sawa na ile ya Mabutu aliyoiacha.

Yule mwehu mnamuita "shujaa" alifanya maovu mengi, na ndiyo maana Mungu alimkatisha maisha kabla hajakamilisha uovu wake. Yaani kweli unaacha kuboresha Mwanza Airport ambayo ni hub ya East Africa then unakwenda kutumia Tsh 70 Bilioni kujenga kiwanja chenye "runway" ya kutua madege kama Boeing na Airbus kwenye kijiji cha Chato!!

Mungu hakuacha huu UFEDHULI uendelee
 
Kwanza ni ujinga kumsema marehemu yeyote yule kwa kumtuhumu kwa jambo lolote! Unategemea ujibiwe na nani sasa? Ni hali ya uoga na kutojiamini kabisa!
Kwanini unadai ni UJINGA ila AKISIFIWA marehemu mnaona sawa. Wewe ni una akili ya ngiri mwenye meno nje
 
Kwanini unadai ni UJINGA ila AKISIFIWA marehemu mnaona sawa. Wewe ni una akili ya ngiri mwenye meno nje
Pole sana ndugu yangu, msipende njia za mkato, huwezi kufika mbali kwa vyeti feki!!!
 
Pole sana ndugu yangu, msipende njia za mkato, huwezi kufika mbali kwa vyeti feki!!!
Nini cheti feki?? Mbona Magufuli alikuwa na PhD FEKI na akamuua Ben Saanane alipohoji
 
Siku ya mazishi yake husikia yule mzee aliyesoma risala akimweleza Samia kuwa Magufuli aliwaahidi mkoa? Hotuba ziko youtube karejee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…