Tetesi: Mkoa mpya wa Korogwe waja!

Tetesi: Mkoa mpya wa Korogwe waja!

Yaani hao wachagga ndio mbumbumbu kabisa hapa Tanzania.
Halafu vitega uchumi anaenda kuweka maeneo ya makabila mengine Kodi analipa kule Kilimanjaro inajazana mijumba isiyoingiza hela wanalala popo na mende ikisubiri majeneza toka maeneo mbali na Kilimanjaro ikija na waombolezaji
 
Ninaona sana. Unajengaje ghorofa uswekeni tena kwenye robo eka halafu unaachia popo walale na kusubiri waombolezaji ! Huo ndio umbumbumbu
Unaona mchana kweupe wewe mnyangara
 
Ninaona sana. Unajengaje ghorofa uswekeni tena kwenye robo eka halafu unaachia popo walale na kusubiri waombolezaji ! Huo ndio umbumbumbu
Umbumbumbu kwa wana ccm ndiyo jadi yenu.

Mtu mzima unakubali kuuza kura yako kwa kofia moja alafu ujiite wewe ni mjanja?
 
CCM nimekwambia itatawale mpaka ichoke kwa sababu hakuna upinzani wa kweli nchi hii.
Umbumbumbu kwa wana ccm ndiyo jadi yenu.

Mtu mzima unakubali kuuza kura yako kwa kofia moja alafu ujiite wewe ni mjanja?
 
Miundo mbinu mizuri ya Kahama ni ipi ? Maana kutoka mjini Kahama kwenda Halmashauri zake zote za Msalala na Ushetu barabara zote ni vumbi tupu. Vyanzo vya mapato Kahama ni dhahabu tu wakati Geita ina Dhahabu, Samaki n.k.
Wewe kijana usiongee kwa mazoea Kahama haijawahi kuwa na chanzo kimoja cha mapato! Kilimo na biashara ndo nguzo ya kahama! Hizo buzwagi na migodi imekuja juzi na kahama imeikuta ikiwa mji uliochangamka! Geita kwa kahama bado sana!
 
Wapare wanavyoithamini Moshi kuliko kwao Thame na Mwanga sijui itakuwaje sasa! [emoji848]

Maana wakienda kwao hawasemagi wanaenda Thame au Mwanga utasikia wakisema naenda Mothi [emoji39][emoji12]

Mkataa kwao Mtumwa! [emoji108]
Wapare ni genge la wapuuzi, kwanza wachagga wanawadharau kinoma.

Wanawachukulia kama masai, wanakunya vichakani.

Wanawaita Chasaka ( Wapori ) lakini kutwa wanawashobokea wachagga.

Hii dunia ukishakosa akili ya kujisimamia unakuta kama TOY. Wala usishangae kuona tena Jitu la lindi linabebeshwa watoto kuelekea moshi Chrismas🤣
 
Wapare ni genge la wapuuzi, kwanza wachagga wanawadharau kinoma.

Wanawachukulia kama masai, wanakunya vichakani.

Wanawaita Chasaka ( Wapori ) lakini kutwa wanawashobokea wachagga.

Hii dunia ukishakosa akili ya kujisimamia unakuta kama TOY. Wala usishangae kuona tena Jitu la lindi linabebeshwa watoto kuelekea moshi Chrismas🤣
Hiyo Lindi inamuhusu Mmawia wa Ufipa st!
 
Mimi huwa nawaambia jamaa zetu wachagga hawana akili. Wakati wasukuma wako busy kuanzisha miji mingi midogo ya biashara kama Katoro, Lamadi, Masumbwe, Mhangu, Nyarugusu, Ngoma na Lunzewe, wachagga wako busy kujenga mijengo mikubwa huko uswekeni Kilimanjaro kwenye kaeneo kadogo ka robo eka kupokea waombolezaji ! Akili nyingi huondoa maarifa. Kwa ufupi Kilimanjaro ni Makaburini tu kama ilivyo Kinondoni makaburini.
Hivi mchunga ng'ombe huwa ana akili au huwaza mifugo yake tu?
Msukuma akili zake za king'ombe na ushamba inajulikana nchi nzima
 
Kwanza kabla ya kuniita kijana ungejihoji kwanza ninayewasiliana naye ni mtu mzima au ni kijana badala ya kukurupuka tu. Mimi sijasema kwamba Geita inaizidi Kahama ila nilikuwa najibu hoja ya aliyesema kwamba Kahama kuna miundo mbinu bora kuliko Geita ndipo nikahoji miundo mbinu ipi hiyo ambayo inaizidi Geita. Kwa sababu wewe umevamia hoja niambie ni miundo mbinu ipi iliyopo Kahama ambapo Geita haipo. Aidha, kumbuka Kahama ni wilayani tu na Geita ni mkoani ambapo ni makao Makuu ya mkoa ambapo kuna RC , hivyo usilinganishe Geita na Kahama manispaa ambayo hata mjini kati hapajulikani ni holela tu.
Wewe kijana usiongee kwa mazoea Kahama haijawahi kuwa na chanzo kimoja cha mapato! Kilimo na biashara ndo nguzo ya kahama! Hizo buzwagi na migodi imekuja juzi na kahama imeikuta ikiwa mji uliochangamka! Geita kwa kahama bado sana!
 
Sisi tupo kila sekta. Ng'ombe tunazo, biashara kwa sana, kilimo kwa sana, umande tumepiga sana tu, miji na center nzuri za biashara tunazo, uwingi tunaongoza, kwa hiyo siye tuko juu tu . hutaki kajinyonge
Hivi mchunga ng'ombe huwa ana akili au huwaza mifugo yake tu?
Msukuma akili zake za king'ombe na ushamba inajulikana nchi nzima
 
Bora wachukue same nzima iwe korogwe huko.
Same haifanani kabisa na Kilimanjaro..
Ni sakeu kbisa
 
Back
Top Bottom