Halafu vitega uchumi anaenda kuweka maeneo ya makabila mengine Kodi analipa kule Kilimanjaro inajazana mijumba isiyoingiza hela wanalala popo na mende ikisubiri majeneza toka maeneo mbali na Kilimanjaro ikija na waombolezaji
Pole sana mjane wa jiwePole sana. Ulipigwa chini kwa cheti fake wewe. Huna lolote unalolijua
Unaona mchana kweupe wewe mnyangaraYaani hao wachagga ndio mbumbumbu kabisa hapa Tanzania.
Sehemu kubwa sana hapa Tanzania ni Chato tuMmmmmmhmn ila tanga ni kubwa jamani chaa. Sasa najiuliza kama tanga ni kubwa tabora niaje babu?!
Acha upuuzi wewe ardhi ipo sema ni kidogoHiyo ardhi mnayo ? Usijitekenye hapa.
Unaona mchana kweupe wewe mnyangara
Umbumbumbu kwa wana ccm ndiyo jadi yenu.Ninaona sana. Unajengaje ghorofa uswekeni tena kwenye robo eka halafu unaachia popo walale na kusubiri waombolezaji ! Huo ndio umbumbumbu
Umbumbumbu kwa wana ccm ndiyo jadi yenu.
Mtu mzima unakubali kuuza kura yako kwa kofia moja alafu ujiite wewe ni mjanja?
Gaidi tauari yupo kwenye 6×6Na wewe endelea kuwa mfuasi wa gaidi. Kila la heri
Wewe kijana usiongee kwa mazoea Kahama haijawahi kuwa na chanzo kimoja cha mapato! Kilimo na biashara ndo nguzo ya kahama! Hizo buzwagi na migodi imekuja juzi na kahama imeikuta ikiwa mji uliochangamka! Geita kwa kahama bado sana!Miundo mbinu mizuri ya Kahama ni ipi ? Maana kutoka mjini Kahama kwenda Halmashauri zake zote za Msalala na Ushetu barabara zote ni vumbi tupu. Vyanzo vya mapato Kahama ni dhahabu tu wakati Geita ina Dhahabu, Samaki n.k.
Hahahaaaa.......!Hapo kijiti hakijakabidhiwa!
Wapare ni genge la wapuuzi, kwanza wachagga wanawadharau kinoma.Wapare wanavyoithamini Moshi kuliko kwao Thame na Mwanga sijui itakuwaje sasa! [emoji848]
Maana wakienda kwao hawasemagi wanaenda Thame au Mwanga utasikia wakisema naenda Mothi [emoji39][emoji12]
Mkataa kwao Mtumwa! [emoji108]
Hiyo Lindi inamuhusu Mmawia wa Ufipa st!Wapare ni genge la wapuuzi, kwanza wachagga wanawadharau kinoma.
Wanawachukulia kama masai, wanakunya vichakani.
Wanawaita Chasaka ( Wapori ) lakini kutwa wanawashobokea wachagga.
Hii dunia ukishakosa akili ya kujisimamia unakuta kama TOY. Wala usishangae kuona tena Jitu la lindi linabebeshwa watoto kuelekea moshi Chrismas🤣
Na wachagga hawapendi wajinga kwerikweriKwani wakati wa ukoloni wapare si walikuwa Tanga Province. Wacha wachagga wabaki peke yao si hawataki makabila mengine.
Hivi mchunga ng'ombe huwa ana akili au huwaza mifugo yake tu?Mimi huwa nawaambia jamaa zetu wachagga hawana akili. Wakati wasukuma wako busy kuanzisha miji mingi midogo ya biashara kama Katoro, Lamadi, Masumbwe, Mhangu, Nyarugusu, Ngoma na Lunzewe, wachagga wako busy kujenga mijengo mikubwa huko uswekeni Kilimanjaro kwenye kaeneo kadogo ka robo eka kupokea waombolezaji ! Akili nyingi huondoa maarifa. Kwa ufupi Kilimanjaro ni Makaburini tu kama ilivyo Kinondoni makaburini.
Wewe kijana usiongee kwa mazoea Kahama haijawahi kuwa na chanzo kimoja cha mapato! Kilimo na biashara ndo nguzo ya kahama! Hizo buzwagi na migodi imekuja juzi na kahama imeikuta ikiwa mji uliochangamka! Geita kwa kahama bado sana!
Hivi mchunga ng'ombe huwa ana akili au huwaza mifugo yake tu?
Msukuma akili zake za king'ombe na ushamba inajulikana nchi nzima