Tetesi: Mkoa mpya wa Korogwe waja!

Tetesi: Mkoa mpya wa Korogwe waja!

Hata wangegawa mikoa yote na kuongeza idadi, ili kufanya kila mkoa uwe na ukubwa kama wa wilaya ndogo kabisa. Bado tu mambo yatakuwa mabaya. Nadhani tubadili kwanza mfumo wetu. Je, mikoa iliyo midogo imeonekana kufanya vizuri zaidi kuliko mikoa mikubwa?
with e-government, huhitaji kuwa na mikoa kihivyo, hata ukiiondoa kabisa you can still govern from the head quarters. kwani wilaya zinatosha kuwasiliana na makao makuu ya taifa, isitoshe wote ni wateulwe wa rais
 
Nafurahi unavyo associate Kilimanjaro na Wachagga. Kana kwamba Wamasai hawastahili kuishi Kilimanjaro. Inaonesha jinsi ulivyo mbaguzi na wa akili muflisi
Lakini ndivyo vigezo vinavyotumika kugawa mikoa siku hizi. Mkoa mpya wa Chato unakusudia kumega Ngara na Biharamulo kutoka Kagera ili rasmi sasa kagera ibaki na wahaya tu
 
Ni sahihi kabisa

Wilaya ya handeni kubwa mno ilistahili iwe hata mkoa siku byingi

Ungeitwa mkoa wa Handeni ingependeza zaidi sababu ndio Handeni inapakana na mikoa ya Tanga,Kilimanjaro,Pwani na Morogoro.
Ok uundwe tu hata uitwe korogwe sawa ila Handeni ndio ingependeza zaidi
Ila korogwe ni Halmashauri ya Mji muda mrefu sana, ina make sense kuwa makao makuu ya Mkoa kuliko Handeni.
 
Back
Top Bottom