Tetesi: Mkoa mpya wa Korogwe waja!

Tetesi: Mkoa mpya wa Korogwe waja!

Shida sio kuwa na mikoa 100 changamoto ya tanzania ni umaskini na huduma kuwafikia wananchi wengi hadi ngazi ya chini.
Na hyo Kilimanjaro kwanini imegwe wakati ni mojawapo ya mikoa midogo nchi ikitoka Dar inafuatiwa Kilimanjaro, so mnataka kuwaamishia ndugu zangu wapare huko Handeni hamko serious nyie.
 
Hata hiyo kilindi baada ya kuzaliwa upya hakuna kipya zaidi ya jina tu .

Barabara zote ni mbovu kutoka Handeni mjini kwenda kilindi wilayani ni vumbi tupu.

Njia iliyo mzuri kidogo ni ya kuanzia kibirashi kwenda kiteto tu lkn barabara za ndani zote ni majanga matupu
Mama ametuahidi barabara za changarawe .futa mawazo ya lami mjomba
 
Utakuwa mgonjwa wewe, Moshi utailinganisha na Dodoma, Singida au Morogoro? sema ukweli ardhi ya Moshi inauzwa ghali sn
Moshi inaachwa Bwasheee!
Maendeleo ya ukuaji wa mji wa Dodoma ukilinganisha na Moshi ni mbingu na ardhi.
Dodoma inakuwa kwa kasi balaa,Singida yenyewe inaanza kupaa.
ila Siha haijapakana na Korogwe na hivyo haiwezi kuunganishwa kwenye huo unaoitwa Mkoa mpya.
Labda wachukue Same yote.
Siha imepakana na Arusha bwashee Yehodaya
 
Kamuulize Lukuvi kwa Nini mji wa Moshi hauwi jiji na haupanuki hawataki kuuza ardhi kwa wageni Wenye pesa wakiwemo wachaga wenzao Wenye hela ohhh hii ardhi ya ukoo wanaishi kuzika Marehemu badala ya kuuza wajengewe viwanda kuongeza ajira nk hawana sehemu moja za kuzikia kila mtu anataka eneo lake liwe la kuzika Marehemu!!! Lukuvi alushauri jamani tengeni eneo moja la makaburi mengine yaacheni yafanyiwe maendeleo ya kiuchumi wakakataa wabaki hivyo mji umechoka utafikiri umetapikwa na mbwa

Kahama,nk yanakuwa maji Moshi utafikiri kigoma ujiji kwa wachawi wabembe wasiopenda maendeleo
Mji wa Moshi ukibaki wa kuzikiwa wewe inakuuma nini sasa. Fight mambo ya waswahili wenzako huko moshi kwenye mji mdogo ndio maana watu wake wamesambaa nchi nzima yet unataka wauze hyo ardhi ndogo kwenye sehemu populated kiasi hicho?
 
Mama ametuahidi barabara za changarawe .futa mawazo ya lami mjomba
Mkuu hata hizo za changarawe ni bora zaidi kuliko haya mashimo na mavumbi ya barabara za wilaya ya Handeni na Kilindi
 
Mji wa Moshi ukibaki wa kuzikiwa wewe inakuuma nini sasa. Fight mambo ya waswahili wenzako huko moshi kwenye mji mdogo ndio maana watu wake wamesambaa nchi nzima yet unataka wauze hyo ardhi ndogo kwenye sehemu populated kiasi hicho?
Wachaga wajinga tu

Wahindi na waarabu huamini kuwa unapopata riziki ndio kwenu

Mchaga wawekezaji kibao wanaenda kwake ardhi hatoi ohhh hii ya makaburi akili hana

Dar mfano wazaramo ardhi waneachia wageni lakini ndio wanaoongoza nchi nzima kwa kutolalamika tatizo la Ajira viwanda viko Hadi maporini vijijini

Wachaga ndio wanaoongoza kulia Ajira hamna sio wazaramo

Wanabahilia ardhi kuwa ya kuzikia hawauzii hata wachaga wenzao Wenye pesa wawekeze ambao sio ukoo wao

Matokeo wanazalisha machangudoa wahudumu wa bar na grocery Dar,Arusha nk

Sasa hivi machangudoa mihudumu ya bar mingi inatoka mikoa miwili Kwa wachaga na singida akili hiyo? Singida tunaweza wasamehe wachaga hapana ubahili wa Ardhi una athari kwenye ajira za watu wao wenyewe
 
Moshi inaachwa Bwasheee!
Maendeleo ya ukuaji wa mji wa Dodoma ukilinganisha na Moshi ni mbingu na ardhi.
Dodoma inakuwa kwa kasi balaa,Singida yenyewe inaanza kupaa.
ila Siha haijapakana na Korogwe na hivyo haiwezi kuunganishwa kwenye huo unaoitwa Mkoa mpya.
Labda wachukue Same yote.
Siha imepakana na Arusha bwashee Yehodaya
Huyo jamaa yako hajui hata Siha ipo sehemu gani yeye karopoka tu, Dodoma na Moshi ni big no Moshi ipo mbali sn
 
Wachaga wajinga tu

Wahindi na waarabu huamini kuwa unapopata riziki ndio kwenu

Mchaga wawekezaji kibao wanaenda kwake ardhi hatoi ohhh hii ya makaburi akili hana

Dar mfano wazaramo ardhi waneachia wageni lakini ndio wanaoongoza nchi nzima kwa kutolalamika tatizo la Ajira viwanda viko Hadi maporini vijijini

Wachaga ndio wanaoongoza kulia Ajira hamna sio wazaramo

Wanabahilia ardhi kuwa ya kuzikia hawauzii hata wachaga wenzao Wenye pesa wawekeze ambao sio ukoo wao

Matokeo wanazalisha machangudoa wahudumu wa bar na grocery Dar,Arusha nk

Sasa hivi machangudoa mihudumu ya bar mingi inatoka mikoa miwili Kwa wachaga na singida akili hiyo? Singida tunaweza wasamehe wachaga hapana ubahili wa Ardhi una athari kwenye ajira za watu wao wenyewe
Unalinganisha mchaga na mzaramo mbona matusi ya nguoni hayo, ni mtu mjinga anayeuza ardhi ka waswahili na kuendelea kucheza ngoma na ngono hyo ni laana mbaya Sasa hivi wazaramo mtauza maeneo muendelee kusogea Hadi huko msumbiji na vigoma vyenu tu
 
Njombe baada ya kuwa mkoa imekimbiza sana kimaendeleo
Njombe kilimo Cha miti na mbao kinasaidia na swala sio kugaiwa huo mkoa mzee. Ingekuwa kugawa ni maendeleo basi Manyara ingeshapaa kiuchumi ukiongeza na katavi
 
Unalinganisha mchaga na mzaramo mbona matusi ya nguoni hayo, ni mtu mjinga anayeuza ardhi ka waswahili na kuendelea kucheza ngoma na ngono hyo ni laana mbaya Sasa hivi wazaramo mtauza maeneo muendelee kusogea Hadi huko msumbiji na vigoma vyenu tu
Kwa taarifa yako nyumba rahisi Bei nafuu kwa hao machangudoa wenu wa Moshi wasiotaka kulaoa geto hupanga nyumba za wazaramo za Bei nafuu Hakuna Cha Kodi ya miezi sita Wala mwaka . Nyumba za wachaga hapangi Asante kuletea wapangaji kwa wamiliki nyumba wazaramo wakati Moshi Nyumba za kupanga wanalala panya na mende kwani zipo tu kwa ajili ya wafiwa na misiba na Christmas kufikia lakini haziingizi hata Mia!!! Mtu anabweka ohhh nimejenga nyumbani !! Ok umejenga inaingiza shilingi ngapi wakati hiyo nyumba kazi kuu kupokea tu maiti na waombolezaji na vacation home ya Krismasi tu ? Muda ukiobaki wanalala mende na panya? Mzaramo Yuko juu nyumba yake full time ina watu hata iwe na umeme au la na wapangaji wakubwa machangudoa wa kichaga walioletwa kama wahudumu bar na grocery waliochoka kulala geto
 
Back
Top Bottom