Tetesi: Mkoa mpya wa Korogwe waja!

Tetesi: Mkoa mpya wa Korogwe waja!

Kwani wakati wa ukoloni wapare si walikuwa Tanga Province. Wacha wachagga wabaki peke yao si hawataki makabila mengine.
Shida sio kuwa na mikoa 100 changamoto ya tanzania ni umaskini na huduma kuwafikia wananchi wengi hadi ngazi ya chini.
Na hyo Kilimanjaro kwanini imegwe wakati ni mojawapo ya mikoa midogo nchi ikitoka Dar inafuatiwa Kilimanjaro, so mnataka kuwaamishia ndugu zangu wapare huko Handeni hamko serious nyie.
 
Mimi huwa nawaambia jamaa zetu wachagga hawana akili. Wakati wasukuma wako busy kuanzisha miji mingi midogo ya biashara kama Katoro, Lamadi, Masumbwe, Mhangu, Nyarugusu, Ngoma na Lunzewe, wachagga wako busy kujenga mijengo mikubwa huko uswekeni Kilimanjaro kwenye kaeneo kadogo ka robo eka kupokea waombolezaji ! Akili nyingi huondoa maarifa. Kwa ufupi Kilimanjaro ni Makaburini tu kama ilivyo Kinondoni makaburini.
Kwa taarifa yako nyumba rahisi Bei nafuu kwa hao machangudoa wenu wa Moshi wasiotaka kulaoa geto hupanga nyumba za wazaramo za Bei nafuu Hakuna Cha Kodi ya miezi sita Wala mwaka . Nyumba za wachaga hapangi Asante kuletea wapangaji kwa wamiliki nyumba wazaramo wakati Moshi Nyumba za kupanga wanalala panya na mende kwani zipo tu kwa ajili ya wafiwa na misiba na Christmas kufikia lakini haziingizi hata Mia!!! Mtu anabweka ohhh nimejenga nyumbani !! Ok umejenga inaingiza shilingi ngapi wakati hiyo nyumba kazi kuu kupokea tu maiti na waombolezaji na vacation home ya Krismasi tu ? Muda ukiobaki wanalala mende na panya? Mzaramo Yuko juu nyumba yake full time ina watu hata iwe na umeme au la na wapangaji wakubwa machangudoa wa kichaga walioletwa kama wahudumu bar na grocery waliochoka kulala geto
 
Geita imefaidika mno. Na sasa mji unazidi kupanuka na miundo mbinuu safi.
Bila kuathiri taarifa yako, sioni namna kama yupo mtaalamu wa kufanya maamuzi ya kuchukua eneo la Kilimanjaro - hii ni eneo la juu ya Korogwe. Ukipanda kwenda Kilimanjaro maana yake unaufanya mkoa wa Tanga kuwa mdogo zaidi wakati huohuo unapunguza Kilimanjaro ambayo walau ipo vizuri kwenye miundombinu na huduma za kielimu na afya.

Naona nafasi kubwa kuja mkoa wa Pwani upande wa kusini Morogoro Kusini Magharibi na Manyara upande wa magharibi.

Kwa waliowahi kufika Wilaya ya Kilosa watakubaliana na mimi kuwa hii wilaya ni ndefu mno, kuna vijiji vipo Kilomita 180 kutoka Makao makuu ya Wilaya.

Kama ikitokea wafanya maamuzi wakachukua sehemu ya mkoa wa Kilimanjaro itakuwa ni maamuzi yasiyo na tija.

Kwa mkoa wa Morogoro ni sawa kwa sababu una umbo lefu hivyo kufanya maeneo mengine kuwa mbali na huduma.

Labda niulize pia,

Uanzishwaji wa mikoa mipya ni fursa kwa ajira, zile za kisiasa na kitaaluma lakini tumewahi kukaa na kujiuliza baada ya kuanzisha mikoa kadhaa miaka ya karibuni, je ni jambo lemye faida endelevu?

Watu wa Katavi mmefaidikaje na mkoa mpya?

Watu wa Njombe mmefaidikaje na mkoa mpya?

Watu wa Geita je?

Watu wa Manyara je?

Watu wa kule Songwe mmefaidiakaje?
 
Nani kakudanganya kwamba mapato ya Kahama yanaizidi Geita ? Lete data hapa.
Hiv ili mkoa uwe mkoa Nini kinazingatiwa??
1) s/mitter za mraba,
2)idadi ya watu?
3)huduma za kijamii??
4)miundombinu
5) influence za kisiasa!
6)kipato cha wakazi husika!!
Au nn?? Maana hata huku chato pamoja na kuwa wilaya na kutaka kuwa mkoa asee bado Sana Sana,

Inaweza kuwa sawa kwenye miundombinu ila watu wake na kipato Chao haviwiani kabisa kuwa mkoa, hasa ukiitoa geita,

Na geita yenyewe bado labda tu kwa sabab za mgodi, maana ukichukua geita na vyanzo vyake vyote hata kimiundombinu huwezi kuilinganisha na kahama ambayo bado inatambulika Kama wilaya, japo pato lake linazidi la geita ninauhakika..

Sasa wenye kujua watueleze nn kinasababisha wilaya kuwa mkoa??
 
Hiv ili mkoa uwe mkoa Nini kinazingatiwa??
1) s/mitter za mraba,
2)idadi ya watu?
3)huduma za kijamii??
4)miundombinu
5) influence za kisiasa!
6)kipato cha wakazi husika!!
Au nn?? Maana hata huku chato pamoja na kuwa wilaya na kutaka kuwa mkoa asee bado Sana Sana,

Inaweza kuwa sawa kwenye miundombinu ila watu wake na kipato Chao haviwiani kabisa kuwa mkoa, hasa ukiitoa geita,

Na geita yenyewe bado labda tu kwa sabab za mgodi, maana ukichukua geita na vyanzo vyake vyote hata kimiundombinu huwezi kuilinganisha na kahama ambayo bado inatambulika Kama wilaya, japo pato lake linazidi la geita ninauhakika..

Sasa wenye kujua watueleze nn kinasababisha wilaya kuwa mkoa??
Miundo mbinu mizuri ya Kahama ni ipi ? Maana kutoka mjini Kahama kwenda Halmashauri zake zote za Msalala na Ushetu barabara zote ni vumbi tupu. Vyanzo vya mapato Kahama ni dhahabu tu wakati Geita ina Dhahabu, Samaki n.k.
 
Kwani mchagga ana nini cha ziada ? Mtu mwenye akili asingeenda kujenga jengo la ghorofa uswekeni ili likaliwe na popo. Ni ujinga tu.
Mmh mm nimpare ila huwezi mfananisha mchaga na mzaramo ,mzaramo akipata hela yy anawaza kwenda kwenye ngoma na ngono
 
Kwa taarifa yako nyumba rahisi Bei nafuu kwa hao machangudoa wenu wa Moshi wasiotaka kulaoa geto hupanga nyumba za wazaramo za Bei nafuu Hakuna Cha Kodi ya miezi sita Wala mwaka . Nyumba za wachaga hapangi Asante kuletea wapangaji kwa wamiliki nyumba wazaramo wakati Moshi Nyumba za kupanga wanalala panya na mende kwani zipo tu kwa ajili ya wafiwa na misiba na Christmas kufikia lakini haziingizi hata Mia!!! Mtu anabweka ohhh nimejenga nyumbani !! Ok umejenga inaingiza shilingi ngapi wakati hiyo nyumba kazi kuu kupokea tu maiti na waombolezaji na vacation home ya Krismasi tu ? Muda ukiobaki wanalala mende na panya? Mzaramo Yuko juu nyumba yake full time ina watu hata iwe na umeme au la na wapangaji wakubwa machangudoa wa kichaga walioletwa kama wahudumu bar na grocery waliochoka kulala geto
Ukweli mtupu, mkuu.
 
Kwani mchagga ana nini cha ziada ? Mtu mwenye akili asingeenda kujenga jengo la ghorofa uswekeni ili likaliwe na popo. Ni ujinga tu.
Halafu vitega uchumi anaenda kuweka maeneo ya makabila mengine Kodi analipa kule Kilimanjaro inajazana mijumba isiyoingiza hela wanalala popo na mende ikisubiri majeneza toka maeneo mbali na Kilimanjaro ikija na waombolezaji
 
Ni sahihi kabisa

Wilaya ya handeni kubwa mno ilistahili iwe hata mkoa siku byingi

Ungeitwa mkoa wa Handeni ingependeza zaidi sababu ndio Handeni inapakana na mikoa ya Tanga,Kilimanjaro,Pwani na Morogoro.
Ok uundwe tu hata uitwe korogwe sawa ila Handeni ndio ingependeza zaidi
Mmmmmmhmn ila tanga ni kubwa jamani chaa. Sasa najiuliza kama tanga ni kubwa tabora niaje babu?!
 
Back
Top Bottom