Si sehemu ya,Kilimanjaro kwa sababu imejaa wageni?...fikiria upyaWilaya ya Siha si sehemu ya Kilimanjaro wamejaa Masai na wageni iende mkoa mpya huo wa korogwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si sehemu ya,Kilimanjaro kwa sababu imejaa wageni?...fikiria upyaWilaya ya Siha si sehemu ya Kilimanjaro wamejaa Masai na wageni iende mkoa mpya huo wa korogwe
[emoji23][emoji23][emoji23] sawa bwana msukuma mie kwani napinga hayo?Sisi tupo kila sekta. Ng'ombe tunazo, biashara kwa sana, kilimo kwa sana, umande tumepiga sana tu, miji na center nzuri za biashara tunazo, uwingi tunaongoza, kwa hiyo siye tuko juu tu . hutaki kajinyonge
S8jawahi kuona Mpare anaekunywa Boha.Wasambaa na Wapare ni jamii moja bwashee!
Kwa hiyo wapare ni wajinga! ..watch your fingertips, usije pata ukoma bure![emoji15]Na wachagga hawapendi wajinga kwerikweri
Akili za CCM,Wilaya ya Siha si sehemu ya Kilimanjaro wamejaa Masai na wageni iende mkoa mpya huo wa korogwe
Nilikuwa namjibu yehodaya na huyo nizakale kwa walichoandika kuhusu wachagaKwa hiyo wapare ni wajinga! ..watch your fingertips, usije pata ukoma bure![emoji15]
Ndio nitake kushangaa, wakati ulishasema your future husband ni mpare😂😂Nilikuwa namjibu yehodaya na huyo nizakale kwa walichoandika kuhusu wachaga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpare akizingua namkimbiaNdio nitake kushangaa, wakati ulishasema your future husband ni mpare[emoji23][emoji23]
Waje kupinga ndoto ya mwendawazimu aliyelala na njaa akaamua kuweka ndoto yake hapa. Msiihusishe Chadema na mambo yenu ya kisengeremaChadema hutawaona kupinga hapa, ila kwa Chato kuwa mkoa hawatakubali
Napendekeza Zanzibar iwe mkoa, na ile mikoa yake yawe wilaya!
Unaimega Kilimanjaro ili wabaki na nini? Kwamba unataka au Wapare hawastahili kuwa Kilimanjaro?Mkoa mpya wa Korogwe utaimega mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro.
Ngoja tuone.
John mbona mkoa haupo na leo ni miaka 2. Uache umbeaMkoa mpya wa Korogwe utaimega mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro.
Ngoja tuone.
Jo akishapiga ulanzi wake anaropoka tuJohn mbona mkoa haupo na leo ni miaka 2. Uache umbea
Huu udesi wako umeishia wapi Mwagito?Mkoa mpya wa Korogwe utaimega mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro.
Ngoja tuone.
Bajeti 😂😂🔥🌟Huu udesi wako umeishia wapi Mwagito?
Tutamega sameKilimanjaro unamega nini...... the region is tiny
Kijiografia Siha ipo mbali,haijapakana na Tanga. Labda ungesema wilaya ya Same,Tena iwe ni maeneo ya Hedaru ilikopakana na Tanga. Ila K'njaro ni mkoa mdogo kieneo,haufai kumegwa.Wilaya ya Siha si sehemu ya Kilimanjaro wamejaa Masai na wageni iende mkoa mpya huo wa korogwe