MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,924
- 6,854
Sadaka anakabidhi jehanamu anakostahili!Magufuli yupo mioyoni mwetu, ni jasiri, ni mzalendo, ni mkombozi wa africa, safaka yake ni takatifu kwa Mungu na kwa wanadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sadaka anakabidhi jehanamu anakostahili!Magufuli yupo mioyoni mwetu, ni jasiri, ni mzalendo, ni mkombozi wa africa, safaka yake ni takatifu kwa Mungu na kwa wanadamu
Magu alilaaniwa hata na vifaranga vya kuku.Haki gani ulitaka atende?
Msilazimishe watu mitazamo yenu iwe ya watu wote.
Ni haki gani ulitaka akutendee wewe?
Sasa kama wewe mwenyewe unasema hawajiwezi, hawana elimu, uchumi duni huoni ni wakati muafaka sasa wapewe mkoa ili kuwapelekea huduma kama hizo za muhimu jirani?likewise Kuna ulazima Gani wa kuunda Mkoa masikini kiasi kile unaoitwa Chato?! Watu hawajiwezi, hawana Elimu, hawana raslimali, uchumi Duni, kwani ukiunda Mkoa ndio utabadilisha Hali hiyo au ni kuongeza gharama za Utawala tu! Nonsense.