Mkoa wa Kilimanjaro una makabila matatu na sio mawili

Mkoa wa Kilimanjaro una makabila matatu na sio mawili

Huna unalolijua wewe kaa kimya mm nmekaa moshi zaidi ya 30 na nmefanya tafiti we endelea kuleta hadithi za babu zako huku
Kukaa miaka 30 sehemu si kwamba ati unaijua sehemu izuri na historia yake kama huulizi pengine unashinda vijiwe vya kusambaza upendo wa Mbege...

Nadhani niliyokupatia utayafanyia kazi zaidi na umepata mwangaza zaidi wa kuendelea na tafiti zako... Kama ukiwaondoa Masai kwenye Mkoa wa Kilimanjaro and then ukawa mkali hata Mbowe atakushangaa maana ndio Jimbo lake kazungukwa na Koo asilia za kale kabisa za wamasai...

Kuna kabila la Wadatooga na Wairaqwi (Wambulu) walifika mwanzo kabla ya Masai Mkoa wa Kilimanjaro Masai walikuwa na Fujo sana so Wadatooga na Wairaqwi wakasepa zao maana wao hufuatana tokea walipotokea huko Ethiopia.. sina hakika kama waliacha baadhi ya ndugu zao kadhaa au la ila Wairaqwi wapo Mombo na huitwa Wambugu, Masai kwao haswa ni Sudan

Wangassa sio wabantu kuna unilotic na ucushitic ndani mwao
 
Mlaleo,
Naona unatumia kitabu cha Prof Kimambo nilichoeleza awali yakuwa ni full of partsanship
 
Naona unatumia kitabu cha Prof Kimambo nilichoeleza awali yakuwa ni full of partsanship
Vipi wewe unatumia Biblia au Koran?

Unafanya tafiti kwa kuishi sehemu miaka 30 mkoa wa kilimanjaro umeishia kuona makabila matatu tu pekee? ina maana hata Masai hukutani nao huko?

kuna RRafiki yangu Moshi ni Mjita tokea mwaka 2003 au 2005 haujakutana nae kweli huko anaitwa Adoni.

hivi unanichukuliaje ninavyokujibu maana some people hata mazungumzo ya kawaida wao huyageuza upinzani na ubishi hata kama mtu yupo sawa mimi huwa sijibizani ila nakuwekea ukweli ili baadae ukitulia unausoma na kuufanyia utafiti kisha unapata elimu.
 
Hakuna lolote juu ya ichi ukisemacho utofaut wao haimanish kuwa wao sio wapare

Ndio mana mgweno au msangi popote pale akienda lazma atasema yeye ni mpare na sio msangi wala mgweno

Kweli kabisa, watu wa huko wengi hujitambulisha kama wapare, kisha huulizana wewe ni mpare wa wapi, usangi, ugweno au same...... sijajua lengo la jamaa ni lipi?
 
Mlaleo,
Mimi siongelei makabila yaliyopo kwa sasa kumbe hujanielewa?
Mbona warangi kibao wapo ugweno
Nazungumzia native people of Kilimanjaro.


Kuhusu kutumia reference sio lazima kimambo kwani reseach ina methods nyingi sana unataka Uniambie yakuwa Rebman na Craff walitumia Kimambo kuona mlima Kilimankyaro?
Wewe bila shaka ni mpare mbana phatu kwa ubishi siwawezi?
 
Kweli kabisa, watu wa huko wengi hujitambulisha kama wapare, kisha huulizana wewe ni mpare wa wapi, usangi, ugweno au same...... sijajua lengo la jamaa ni lipi????


Hakuna mpare wa Ugweno sasa na wale wanaoitwa Temba, Kimario, Kimaro na ni native wa pale waseme ni wachaga wa Ugweno.

Bila shaka huu uzi nmekosea kuuleta jf mana jf ya sasa na ya miaka ya nyuma ni tofauti yani critical thinkers hamna wanasikiliza na kuongea ya vijiweni tu.
 
Mbona baadhi ya koo ulizotaja si za Kigweno? Kwa mfano Mbaga, ni Wapare wa Same.
Ukoo maarufu kwa Wagweno ni Msuya

Maarufu kivipi labda tuanzie hapo mana sijaona kubwa walilofanya zaidi ya Washana kugundua na kufua vyuma somo ambalo linasomwa Africa nzima
 
Hakuna mpare wa Ugweno sasa na wale wanaoitwa Temba, Kimario, Kimaro na ni native wa pale waseme ni wachaga wa Ugweno.
Bila shaka huu uzi nmekosea kuuleta jf mana jf ya sasa na ya miaka ya nyuma ni tofauti yani critical thinkers hamna wanasikiliza na kuongea ya vijiweni tu.

Kwanza ukiwa JF usiwe na hasira, simamia hoja, pili usijifanye unajua sana kuliko mtu mwingine na kuona wengine ni vihiyo.

Haya sasa, kwa hiyo unataka kuniambia wamachame, wakibosho nk ni makabila yanayojitegemea na si wachaga? je, wasangi ni wapare ama "wasangi" kama ulivyowatenga wagweno?
 
Kwanza ukiwa JF usiwe na hasira, simamia hoja, pili usijifanye unajua sana kuliko mtu mwingine na kuona wengine ni vihiyo

Haya sasa, kwa hiyo unataka kuniambia wamachame, wakibosho nk ni makabila yanayojitegemea na si wachaga? je, wasangi ni wapare ama "wasangi" kama ulivyowatenga wagweno?

Wasangi kuna wa upareni na ugweno acha ubishi kijana na navijua vijiji vyote vya usangi na ugweno matambiko nk.
 
Kwanza ukiwa JF usiwe na hasira, simamia hoja, pili usijifanye unajua sana kuliko mtu mwingine na kuona wengine ni vihiyo

Haya sasa, kwa hiyo unataka kuniambia wamachame, wakibosho nk ni makabila yanayojitegemea na si wachaga? je, wasangi ni wapare ama "wasangi" kama ulivyowatenga wagweno?
Shukran sana ndugu yangu umenena machache yenye maana kubwa sana mungu akuongozee kwa iman yangu
 
shana Chuma, Mimi Sio Mpare ila Nimeishi Upareni na Uchagani so tunaweza enda sawa ila Historia unayoleta wewe ni Mpya na pia Kumbuka Maandishi si sawa na Maongezi ulichoandika ndicho unachomaanisha so kama ulikuwa na utofautisho weka kimaandishi kuwa Unazungumzia uasili wa Mkoa but hautaweza kuwa sawa sababu mchanganyiko wa watu mwishowe utahamia kwenye DNA ili upate asilia na ukienda huko utajikuta unawapata wachaga wabantu na wachaga Niloticasili ya Sudan na wachaga Cushitic asili ya Ethiopia na Mesopotamia huko...

Nakushauri weka Tafiti yako ikiwezekana kwa Ki karne kabila lililokuwepo eneo husika either kuuzunguka Mlima Kilimanjaro au na Maeneo karibu na Mlima or Something ila kuja na Thread kuwa Watu wanasema Mkoa wa Kilimanjaro una Makabila Mawili sio ni Matatu... so sie Tufahamuo kiasi tunajua Makabila yapo zaidi ya Matatu haswa ukizingatia Mkoa huo uligawanywa kiasi furani Maana ukienda Upareni utakuta kuna Vijiji vya Waarabu wanaishi maisha ya kijijini haswa na kuna Wasambaa tena Vizazi zaidi ya Sita huko au zaidi.

Wachaga yasemekana walianza kuishi eneo la Milima ya upare karne ya 11 hadi ya 12 hivi au zaidi na sio kwamba hawakukuta watu la Hasha tena asili yao ilikuwa no huko africa magharibi sijui togo au nchi fulani huko sikumbuki fresh
 
Mlaleo,
Kama hakumbuki fresh kaa kimya mana hayo yote unayoyazungumza ninayo ila sitaki kuyatumia kwa sababu ya partsanship
 
Mlaleo, Naomba unitumie hicho kijitabu nami nisome Mimi mchaga jina hasa jamii ya kushait ninwapi hasa kati ya kibosho na machame,marangu ?
 
Ukitaka kuelewa huu uzi kaa utulie ikibidi soma mara mbili
 
Back
Top Bottom