Mkoa wa Kilimanjaro waachwa mbali kwa utajiri na Mkoa wa Shinyanga

Mkoa wa Kilimanjaro waachwa mbali kwa utajiri na Mkoa wa Shinyanga

Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP)

1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion
2. Mwanza - sh 10.95 Trillion
3. Mbeya - sh 8.3 Trillion
4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion
5. Morogoro - sh 7.1 Trillion
6. Tanga - sh 6.9 Trillion
7. Arusha - sh 6.9 Trillion
8. Geita - sh 6.6 Trillion
9. Kilimanjaro - sh 6.6 Trillion
10. Ruvuma - sh 5.6 Trillion
11. Tabora - sh 5.4 Trillion
12. Mara - sh 5.4 Trillion
13. Manyara - sh 4.97 Trillion
14. Dodoma - sh 4.6 Trillion
15. Iringa - sh 4.6 Trillion
16. Kigoma - sh 4.14 Trillion
17. Mtwara - sh 4 Trillion
18. Kagera - sh 3.78 Trillion
19. Rukwa - sh 3.1 Trillion
20. Pwani - sh 2.98 Trillion
21. Lindi - sh 2.95 Trillion
22. Singida - sh 2.7 Trillion
23. Songwe - sh 2.7 Trillion
24. Njombe - sh 2.6 Trillion
25. Katavi - sh 1.99 Trillion
Hizo hizo Takwimu za NBS soma Umasikini wa Wananchi Shinyanga ni ya Ngapi?
 
Shinyanga bila kahama ingeshika Mkia, Kahama ni kiboko ukienda leo Ndani ya mwezi Maisha haya hapa Ujue tu kuchakarika kama kijana.
 
Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP)

1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion
2. Mwanza - sh 10.95 Trillion
3. Mbeya - sh 8.3 Trillion
4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion
5. Morogoro - sh 7.1 Trillion
6. Tanga - sh 6.9 Trillion
7. Arusha - sh 6.9 Trillion
8. Geita - sh 6.6 Trillion
9. Kilimanjaro - sh 6.6 Trillion
10. Ruvuma - sh 5.6 Trillion
11. Tabora - sh 5.4 Trillion
12. Mara - sh 5.4 Trillion
13. Manyara - sh 4.97 Trillion
14. Dodoma - sh 4.6 Trillion
15. Iringa - sh 4.6 Trillion
16. Kigoma - sh 4.14 Trillion
17. Mtwara - sh 4 Trillion
18. Kagera - sh 3.78 Trillion
19. Rukwa - sh 3.1 Trillion
20. Pwani - sh 2.98 Trillion
21. Lindi - sh 2.95 Trillion
22. Singida - sh 2.7 Trillion
23. Songwe - sh 2.7 Trillion
24. Njombe - sh 2.6 Trillion
25. Katavi - sh 1.99 Trillion
GDP haina lolote ukitaka kujua hali ya utajiri anza na per capita income. Hivyo ukichukua hiyo GDP ukagawanya utaona level ya umasikini ilivyo.

Lakini pili nchi au maeneo yenye madini mengi na mafuta kuna tabia ya kuwa na GDP kubwa lakini na usikini ni mkubwa. Kwa nini ipo hivyo ni kwa sababu makampuni machache yanatengeneza income kubwa sana ilihali watu wa kawaida hawana kitu.

Sehemu ambapo service based income ni kubwa basi kuna uwezekano watu wa mahalia wakawa na uchumi mzuri kwa sababu mgawamyo wake ni mkubwa.

Pima sasa mikoa ya utaliii vs mikoa ya madini hali ya watu wake ikoje? Kisha pima sehemu ya viwanda vingi vs wakulima au utalii
 
GDP haina lolote ukitaka kujua hali ya utajiri anza na per capita income. Hivyo ukichukua hiyo GDP ukagawanya utaona level ya umasikini ilivyo.

Lakini pili nchi au maeneo yenye madini mengi na mafuta kuna tabia ya kuwa na GDP kubwa lakini na usikini ni mkubwa. Kwa nini ipo hivyo ni kwa sababu makampuni machache yanatengeneza income kubwa sana ilihali watu wa kawaida hawana kitu.

Sehemu ambapo service based income ni kubwa basi kuna uwezekano watu wa mahalia wakawa na uchumi mzuri kwa sababu mgawamyo wake ni mkubwa.

Pima sasa mikoa ya utaliii vs mikoa ya madini hali ya watu wake ikoje? Kisha pima sehemu ya viwanda vingi vs wakulima au utalii
Ukienda mkoa wa Kilimanjaro vijiji vyake vinahuduma zote na vingi vinafikiwa kwa Barbara ya lami ni tofauti na vijiji vya mikoa mingi

Mkoa wa Kilimanjaro ni wilaya ya Same ambayo vijiji vyake haviko vizuri na ni kwa sababu ya geographic yake ni milima sana, lakin wilaya zilizobaki zote ziko vizuri
 
Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP)

1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion
2. Mwanza - sh 10.95 Trillion
3. Mbeya - sh 8.3 Trillion
4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion
5. Morogoro - sh 7.1 Trillion
6. Tanga - sh 6.9 Trillion
7. Arusha - sh 6.9 Trillion
8. Geita - sh 6.6 Trillion
9. Kilimanjaro - sh 6.6 Trillion
10. Ruvuma - sh 5.6 Trillion
11. Tabora - sh 5.4 Trillion
12. Mara - sh 5.4 Trillion
13. Manyara - sh 4.97 Trillion
14. Dodoma - sh 4.6 Trillion
15. Iringa - sh 4.6 Trillion
16. Kigoma - sh 4.14 Trillion
17. Mtwara - sh 4 Trillion
18. Kagera - sh 3.78 Trillion
19. Rukwa - sh 3.1 Trillion
20. Pwani - sh 2.98 Trillion
21. Lindi - sh 2.95 Trillion
22. Singida - sh 2.7 Trillion
23. Songwe - sh 2.7 Trillion
24. Njombe - sh 2.6 Trillion
25. Katavi - sh 1.99 Trillion
Hii takwim ya lini? Mbona baadhi ya mikoa haimo ktk list msee
 
Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP)

1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion
2. Mwanza - sh 10.95 Trillion
3. Mbeya - sh 8.3 Trillion
4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion
5. Morogoro - sh 7.1 Trillion
6. Tanga - sh 6.9 Trillion
7. Arusha - sh 6.9 Trillion
8. Geita - sh 6.6 Trillion
9. Kilimanjaro - sh 6.6 Trillion
10. Ruvuma - sh 5.6 Trillion
11. Tabora - sh 5.4 Trillion
12. Mara - sh 5.4 Trillion
13. Manyara - sh 4.97 Trillion
14. Dodoma - sh 4.6 Trillion
15. Iringa - sh 4.6 Trillion
16. Kigoma - sh 4.14 Trillion
17. Mtwara - sh 4 Trillion
18. Kagera - sh 3.78 Trillion
19. Rukwa - sh 3.1 Trillion
20. Pwani - sh 2.98 Trillion
21. Lindi - sh 2.95 Trillion
22. Singida - sh 2.7 Trillion
23. Songwe - sh 2.7 Trillion
24. Njombe - sh 2.6 Trillion
25. Katavi - sh 1.99 Trillion
Kwa akili hizi za kushindana kimikoa , kama taifa litaweza kufikia hatua ya kutengeneza toothpick kweli ?
 
Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP)

1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion
2. Mwanza - sh 10.95 Trillion
3. Mbeya - sh 8.3 Trillion
4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion
5. Morogoro - sh 7.1 Trillion
6. Tanga - sh 6.9 Trillion
7. Arusha - sh 6.9 Trillion
8. Geita - sh 6.6 Trillion
9. Kilimanjaro - sh 6.6 Trillion
10. Ruvuma - sh 5.6 Trillion
11. Tabora - sh 5.4 Trillion
12. Mara - sh 5.4 Trillion
13. Manyara - sh 4.97 Trillion
14. Dodoma - sh 4.6 Trillion
15. Iringa - sh 4.6 Trillion
16. Kigoma - sh 4.14 Trillion
17. Mtwara - sh 4 Trillion
18. Kagera - sh 3.78 Trillion
19. Rukwa - sh 3.1 Trillion
20. Pwani - sh 2.98 Trillion
21. Lindi - sh 2.95 Trillion
22. Singida - sh 2.7 Trillion
23. Songwe - sh 2.7 Trillion
24. Njombe - sh 2.6 Trillion
25. Katavi - sh 1.99 Trillion
Kwa hiyo ?!
 
Hivi wewe unadhani kila sehemu yenye maendelo ni wachaga tu wapo? Very stupid aid! Kahama kawatafute wachaga wako hawanachao hapo! wanazidiwa mpaka na waha!
Kwahiyo Gaki na fresho ni waha...ukitaja matajiri wakubwa shy ni salum mbuzi,gasper kileo,fred shoo ambae ni marehemu kwasasa....huyo ndege sela ni tajiri wa kahama hafiki hata robo ya pesa za hao nliotaja
 
Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP)

1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion
2. Mwanza - sh 10.95 Trillion
3. Mbeya - sh 8.3 Trillion
4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion
5. Morogoro - sh 7.1 Trillion
6. Tanga - sh 6.9 Trillion
7. Arusha - sh 6.9 Trillion
8. Geita - sh 6.6 Trillion
9. Kilimanjaro - sh 6.6 Trillion
10. Ruvuma - sh 5.6 Trillion
11. Tabora - sh 5.4 Trillion
12. Mara - sh 5.4 Trillion
13. Manyara - sh 4.97 Trillion
14. Dodoma - sh 4.6 Trillion
15. Iringa - sh 4.6 Trillion
16. Kigoma - sh 4.14 Trillion
17. Mtwara - sh 4 Trillion
18. Kagera - sh 3.78 Trillion
19. Rukwa - sh 3.1 Trillion
20. Pwani - sh 2.98 Trillion
21. Lindi - sh 2.95 Trillion
22. Singida - sh 2.7 Trillion
23. Songwe - sh 2.7 Trillion
24. Njombe - sh 2.6 Trillion
25. Katavi - sh 1.99 Trillion
Utafiti uliofanywa na nani?

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo Gaki na fresho ni waha...ukitaja matajiri wakubwa shy ni salum mbuzi,gasper kileo,fred shoo ambae ni marehemu kwasasa....huyo ndege sela ni tajiri wa kahama hafiki hata robo ya pesa za hao nliotaja
Unazungumzia marehemu hapa! Nyinyi mnatabia ya kukariri ukimkuta mchaga mmoja anakijumba kahama au mwanza unaanza kudanganya watu kuwa matajiri wote wa sehemu hiyo ni wachaga! Hivi kahama na shinyanga yote matajiri wanafahamika acha ujinga!
 
Unazungumzia marehemu hapa! Nyinyi mnatabia ya kukariri ukimkuta mchaga mmoja anakijumba kahama au mwanza unaanza kudanganya watu kuwa matajiri wote wa sehemu hiyo ni wachaga! Hivi kahama na shinyanga yote matajiri wanafahamika acha ujinga!
Wataje sasa hao matajiri [emoji23][emoji23] na wewe acha blabla zako
 
Ni sehemu gani Kilimanjaro Kuna nyumba za tembe?
Nyinyi miaka yenu ya kutamba ilishaisha! Nenda hapo kahama au geita ukaone vijana wa kisukuma walivyo na hela! Nyumba nzuri usukumani saizi kila kona zipo! Tulia dawa ikuingie! Saizi kwa hali ilivo msukuma kila sehemu yupo na anafanya vizuri endelea kujidanyanya huku unakuvywa mbege!
 
Back
Top Bottom