Mkoa wa Kilimanjaro waachwa mbali kwa utajiri na Mkoa wa Shinyanga

Mkoa wa Kilimanjaro waachwa mbali kwa utajiri na Mkoa wa Shinyanga

Wataje sasa hao matajiri [emoji23][emoji23] na wewe acha blabla zako
Wewe ndo unakiwewe Ndegesera mimi sijamtaja unamtaja wewe kazi yako kufatilia mafanikio ya wanaume wa kisukuma! Kwa akili yako unataka kutuaminisha hapa kuwa kahama wafanyabiashara wakubwa wengi ni wachaga!! Ujinga wa hali ya juu! Nenda kahama achana na stories za kijiweni wewe mangi hakuna mchaga anatishia mtu pale kahama! Kama ni nyumba nzuri wilaya ya kahama imejengeka mpaka kijijini! Hata ukienda Katoro geita wachaga wa kuhesabu kwa manati pia hata pale mwanza wachaga wachache tena wazee wa zamani kama yule tapeli Lema aliyefirisika na kuuza kihotel chakecha Taiwani kwa BATCO! Saizi paleni wasukuma na watu wa musoma hususani wakurya!
 
Nyinyi miaka yenu ya kutamba ilishaisha! Nenda hapo kahama au geita ukaone vijana wa kisukuma walivyo na hela! Nyumba nzuri usukumani saizi kila kona zipo! Tulia dawa ikuingie! Saizi kwa hali ilivo msukuma kila sehemu yupo na anafanya vizuri endelea kujidanyanya huku unakuvywa mbege!
Jaribu kwenda udsm, mzumbe, Muhimbili, sua alafu angalia ni wanafunzi wa asili ya mkoa upi wako wengi
 
Jaribu kwenda udsm, mzumbe, Muhimbili, sua alafu angalia ni wanafunzi wa asili ya mkoa upi wako wengi
Hivi weweumesoma chuo kweli au unaongea bila takwimu! Unataka kutuaminisha hapa kuwa wanafunzi wanaotokea kanda ya ziwa ni wachache vyuoni? Yaani unasema kabisa eti UDSM hivi unajua kuwa masomo mengi ya engineering wanafunzi wengi wanatokea kanda ya ziwa! Acha kujifariji hakuna course yeyote ukakosa wanafunzi kutoka kanda ya ziwa! Labda unazungumzia miaka ya 80 au 90 huko!
 
Siingizi ishu ya udini hapa lakini mara nyingi nchi yetu ikiongozwa na mkiristo huwa inakuwa selikari ya visasi na kinyongo......
 
Siingizi ishu ya udini hapa lakini mara nyingi nchi yetu ikiongozwa na mkiristo huwa inakuwa selikari ya visasi na kinyongo......
Wewe ni mpuuzi tu viongozi wakristo wengi ndo wenye vision ila kwa kuwa hatutaki viongozi wenye vision tunapenda uswahili na wizi ndo maana unafagilia udini. Mwangalie Mkapa licha ya kutofanya vizuri kwenye uwekezaji na ubinafisishaji lakini ndo alianzisha taasisis nyingi amabazo mpaka leo zipo kama TRA lakini pia mwanagalie Magufuli alivyokuwa na vision linganisha na mzurulai Kikwete.
 
Unazungumzia marehemu hapa! Nyinyi mnatabia ya kukariri ukimkuta mchaga mmoja anakijumba kahama au mwanza unaanza kudanganya watu kuwa matajiri wote wa sehemu hiyo ni wachaga! Hivi kahama na shinyanga yote matajiri wanafahamika acha ujinga!
Jibu swali kwani fresho kampuni sio ipo,top 5 ya matajiri wa shy hao wachaga wawili wapo
 
Huyu wasukuma wake wanahela za masharti,huwezi kutaja matajiri watano wa shy wengi ukwasi mkubwa marehemu fresho yupo na gasper kileo yupo...wengine ni waarabu hilal sudi,salum mbuzi.
Ataje hao wake yeye wenye hela za masharti anawika miaka 10 then anafilisika
Wataje sasa hao matajiri [emoji23][emoji23] na wewe acha blabla zako
 
Back
Top Bottom