Wewe ndo unakiwewe Ndegesera mimi sijamtaja unamtaja wewe kazi yako kufatilia mafanikio ya wanaume wa kisukuma! Kwa akili yako unataka kutuaminisha hapa kuwa kahama wafanyabiashara wakubwa wengi ni wachaga!! Ujinga wa hali ya juu! Nenda kahama achana na stories za kijiweni wewe mangi hakuna mchaga anatishia mtu pale kahama! Kama ni nyumba nzuri wilaya ya kahama imejengeka mpaka kijijini! Hata ukienda Katoro geita wachaga wa kuhesabu kwa manati pia hata pale mwanza wachaga wachache tena wazee wa zamani kama yule tapeli Lema aliyefirisika na kuuza kihotel chakecha Taiwani kwa BATCO! Saizi paleni wasukuma na watu wa musoma hususani wakurya!Wataje sasa hao matajiri [emoji23][emoji23] na wewe acha blabla zako