Mkoa wa Kursk, Urusi waendelea kupokea mabomu ya Ukraine, yaani Urusi ndani ndani

Mkoa wa Kursk, Urusi waendelea kupokea mabomu ya Ukraine, yaani Urusi ndani ndani

Obama,George Bush na Tony Blair waliovamia nchi zingine walikuwa timamu?
Kwahiyo ni ruksa kuvamiana kisa Hao watu wako walivamia nchi nyingine ? Hv upo timamu kweli ? Kuna muda mnaitwa ny@n mnalalamika ila mnasadifu majina hayo , unashabikia taifa moja kubwa kumuonea mnyonge mwenzio , mataifa makubwa yanaunga kuwanyonya nyiny kima mnaungana kuubariki udharimu wako
 
Kwahiyo ni ruksa kuvamiana kisa Hao watu wako walivamia nchi nyingine ? Hv upo timamu kweli ? Kuna muda mnaitwa ny@n mnalalamika ila mnasadifu majina hayo , unashabikia taifa moja kubwa kumuonea mnyonge mwenzio , mataifa makubwa yanaunga kuwanyonya nyiny kima mnaungana kuubariki udharimu wako
Usiniite nyani! Nimekuuliza,ni sawa NATO waliooivamia Iraq?
 
Kwahiyo ni ruksa kuvamiana kisa Hao watu wako walivamia nchi nyingine ? Hv upo timamu kweli ? Kuna muda mnaitwa ny@n mnalalamika ila mnasadifu majina hayo , unashabikia taifa moja kubwa kumuonea mnyonge mwenzio , mataifa makubwa yanaunga kuwanyonya nyiny kima mnaungana kuubariki udharimu wako

Tukiitwa nyani nawe upo.punguza jazba kijana.wacha wadundane ikiwezekana na ulaya nzima ichakazwe.mahaba yako na hao upinde ustake wote tuwe sawa
 
Back
Top Bottom