Kwahiyo ni ruksa kuvamiana kisa Hao watu wako walivamia nchi nyingine ? Hv upo timamu kweli ? Kuna muda mnaitwa ny@n mnalalamika ila mnasadifu majina hayo , unashabikia taifa moja kubwa kumuonea mnyonge mwenzio , mataifa makubwa yanaunga kuwanyonya nyiny kima mnaungana kuubariki udharimu wakoObama,George Bush na Tony Blair waliovamia nchi zingine walikuwa timamu?