Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
π³π³π³π³π³π³π³π³π³Uongo huo hao shule nyingi za binafsi wnapewa majibu watt unakuta wamiliki Ndio hao wapo nacte nikujichotea majibu tu.
ahaaaaNadhan jaribu kutofautisha kuwa mzaliwa wa Mbeya na kusomea Mbeya
Anyway mm rafk yangu n mmarangu na mwanae alikuwa pale St Francis Mbeya ameingia kumi Bora
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa kwanini shule zingine zinazofanana hiyo hazifanyi vizuri.Nadhan jaribu kutofautisha kuwa mzaliwa wa Mbeya na kusomea Mbeya
Anyway mm rafk yangu n mmarangu na mwanae alikuwa pale St Francis Mbeya ameingia kumi Bora
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Punguza hasiraUongo huo hao shule nyingi za binafsi wnapewa majibu watt unakuta wamiliki Ndio hao wapo nacte nikujichotea majibu tu.
Swali langu sasa je wanaokwenda hiyo mikoa mingine mbona wao hawafauru kama hao.Ukichunguza vizuri hao watoto wa hiyo shule utagundua wengi hawatokei Mbeya bali wamefuata shule fulani iliyojengwa Mbeya.
Wanambeya halisi wanasoma shule za day hapo Mbeya, sasa nenda kafuatilie matokeo yao halafu uje utupe mrejesho hapa.
Mkuu tuhuma ya kununua mitihani ni nzito na kama huna ushahidi Kaa kimya. Pia kumbuka mitihani inayoandaliwa na necta ni miongoni mwa Siri za nchijanja janja, mfaulu wa mpango huo, full kununua mitihani.
Kwa hiyo na mimi niliyepeleka watoto wakasome huko na wamefaulu ni "Mnyachusa"?ππππNdugu zangu naomba kuuliza hili swali maana nimetamani nimhamishe mwanangu shule hapa Dar aende tu Mbeya.
Hivi kwanini watu wa Mbeya wanaakili nyingi mitihani yote wanachukua kumi bora wao.
Inamaana hii mikoa mingine ni mbumbu au kuna nini
umesoma UK eeMkuu tuhuma ya kununua mitihani ni nzito na kama huna ushahidi Kaa kimya. Pia kumbuka mitihani inayoandaliwa na necta ni miongoni mwa Siri za nchi
Naona haufuatilii mambo ya Elimu katika hizi shule za bweni;Ndugu zangu naomba kuuliza hili swali maana nimetamani nimhamishe mwanangu shule hapa Dar aende tu Mbeya.
Hivi kwanini watu wa Mbeya wanaakili nyingi mitihani yote wanachukua kumi bora wao.
Inamaana hii mikoa mingine ni mbumbu au kuna nini
Mbeya inaongoza kwa umasikini makibwa.Hivi unajua mikoa inayoongoza kila mwezi ulipaji wa Kodi TRA.Cha ajabu unaongoza kwa umaskini tanzania
Leta takwimu zako labda NBS walidanganya kuwa mbeya ni moja ya mikoa mitano yenye kipato cha juu.Cha ajabu unaongoza kwa umaskini tanzania
Mkuu Mbeya ipi inayoongoza kwa umasikini? Wewe utakuwa unatoka Kanda pendwaCha ajabu unaongoza kwa umaskini tanzania