Mkoa wa Mbeya uwe workshop ya Elimu nchini

Mkoa wa Mbeya uwe workshop ya Elimu nchini

Uongo huo hao shule nyingi za binafsi wnapewa majibu watt unakuta wamiliki Ndio hao wapo nacte nikujichotea majibu tu.
 
janja janja, mfaulu wa mpango huo, full kununua mitihani.
 
Ukichunguza vizuri hao watoto wa hiyo shule utagundua wengi hawatokei Mbeya bali wamefuata shule fulani iliyojengwa Mbeya.

Wanambeya halisi wanasoma shule za day hapo Mbeya, sasa nenda kafuatilie matokeo yao halafu uje utupe mrejesho hapa.
 
Ukichunguza vizuri hao watoto wa hiyo shule utagundua wengi hawatokei Mbeya bali wamefuata shule fulani iliyojengwa Mbeya.
Wanambeya halisi wanasoma shule za day hapo Mbeya, sasa nenda kafuatilie matokeo yao halafu uje utupe mrejesho hapa.
Swali langu sasa je wanaokwenda hiyo mikoa mingine mbona wao hawafauru kama hao.
 
Nasema Ada zake sikubwa kwa sababu yule kinara wamwaka Jana binamu yangu kabisa Ada sio kivile mpaka unakataa, alafu shule ya misheni.
 
Ndugu zangu naomba kuuliza hili swali maana nimetamani nimhamishe mwanangu shule hapa Dar aende tu Mbeya.

Hivi kwanini watu wa Mbeya wanaakili nyingi mitihani yote wanachukua kumi bora wao.

Inamaana hii mikoa mingine ni mbumbu au kuna nini
Kwa hiyo na mimi niliyepeleka watoto wakasome huko na wamefaulu ni "Mnyachusa"?😂😂😂😂
 
Ndugu zangu naomba kuuliza hili swali maana nimetamani nimhamishe mwanangu shule hapa Dar aende tu Mbeya.

Hivi kwanini watu wa Mbeya wanaakili nyingi mitihani yote wanachukua kumi bora wao.

Inamaana hii mikoa mingine ni mbumbu au kuna nini
Naona haufuatilii mambo ya Elimu katika hizi shule za bweni;
Hizo shule husomesha wanafunzi wa mikoa yote kigezo ni wale wenye maks za juu.
Ukisikia shule ipo mbeya, bukoba Arusha, Moshi nk jua wenjeji hapo wanaweza kuwa 25%
 
Back
Top Bottom