Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Ndugu zangu naomba kuuliza hili swali maana nimetamani nimhamishe mwanangu shule hapa Dar aende tu Mbeya.
Hivi kwanini watu wa Mbeya wanaakili nyingi mitihani yote wanachukua kumi bora wao.
Inamaana hii mikoa mingine ni mbumbu au kuna nini
Hivi kwanini watu wa Mbeya wanaakili nyingi mitihani yote wanachukua kumi bora wao.
Inamaana hii mikoa mingine ni mbumbu au kuna nini