connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Wanasaidia vipi kuondoa umasikini hapo Pwani?Hakika nyie Ni maalum haswa nchini,
1. Jafo,
2. Mchengerwa,
3. Ulega,
4. Ridhiwani,
5. Kipanga.
Umaskini huko palepale.Wanasaidia vipi kuondoa umasikini hapo Pwani?
Mkoa wa TangaHakika nyie Ni maalum haswa nchini,
1. Jafo,
2. Mchengerwa,
3. Ulega,
4. Ridhiwani,
5. Kipanga.
Pia pwani imetoka maRais wawili so farHakika nyie Ni maalum haswa nchini,
1. Jafo,
2. Mchengerwa,
3. Ulega,
4. Ridhiwani,
5. Kipanga.
Dodoma na Singida huoni? Kigoma na Ruvuma Je?Shalom
Taifa kwa sasa limeegemea mikoa ya Pwani na Tanga , hii mikoa Ina Mawaziri wasiopungua 9 kwa takwimu za haraka Pwani wako 5 na Tanga wako 4.
Kila awamu na agenda zake kupanga ni kuchagua na matokeo ni kuchagua.
Ni hayo tu
Wadiz
😹😹😹Inawasaidiaje wananchi wa kawaida? Rubbish
Unafuatiwa na mkoa wa Tanga.Hakika nyie Ni maalum haswa nchini,
1. Jafo,
2. Mchengerwa,
3. Ulega,
4. Ridhiwani,
5. Kipanga.
RuvumaShalom
Taifa kwa sasa limeegemea mikoa ya Pwani na Tanga , hii mikoa Ina Mawaziri wasiopungua 9 kwa takwimu za haraka Pwani wako 5 na Tanga wako 4.
Kila awamu na agenda zake kupanga ni kuchagua na matokeo ni kuchagua.
Ni hayo tu
Wadiz