kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Ndio mikoa maskini kilimo yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupongeze uwepo wa idadi kubwa ya mawaziri au uwezo wa mawaziri kufanya transformation, kwakua hakuna la maana wanalotufanyia watanzania tuwapongeze kwa kutufelishaHakika nyie Ni maalum haswa nchini,
1. Jafo,
2. Mchengerwa,
3. Ulega,
4. Ridhiwani,
5. Kipanga.
Ingekuwa hawa wote wanatokea kati ya Mbeya, Kilimanjaro au Kagera. Kungekuwa na kelele mpaka KanyigoHakika nyie Ni maalum haswa nchini,
1. Jafo,
2. Mchengerwa,
3. Ulega,
4. Ridhiwani,
5. Kipanga.
PoleIngekuwa hawa wote wanatokea kati ya Mbeya, Kilimanjaro au Kagera. Kungekuwa na kelele mpaka Kanyigo
Kazi kwelikweli, Mkuu umeni kumbusha wakati wa JKN yeye alihakikisha kila mkoa anatoka waziri walau mmoja.Shalom
Taifa kwa sasa limeegemea mikoa ya Pwani na Tanga , hii mikoa Ina Mawaziri wasiopungua 9 kwa takwimu za haraka Pwani wako 5 na Tanga wako 4.
Kila awamu na agenda zake kupanga ni kuchagua na matokeo ni kuchagua.
Ni hayo tu
Wadiz
Kwa mawaziri wa aina hizi maendeleo yatakuwa ni ndoto za mchanaHakika nyie Ni maalum haswa nchini,
1. Jafo,
2. Mchengerwa,
3. Ulega,
4. Ridhiwani,
5. Kipanga.