ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Licha ya huu mkoa kupakana na jiji la Dar es salaam ambalo ndo jiji kubwa Tanzania na Africa Mashariki Kwa ujumla, lakini mkoa wa Pwani unatishia, Mkoa wa Pwani una Mapori mazito yamefunga Giza na ya kuogopesha sana.
Me natokea Kanda ya ziwa, mkoa wa Kagera tuna vijiji na Mapori ila Kwa mkoa wa Pwani usipime
Ukitoka Dar hapo ukaingia Mkuranga tu Kuna vijiji kama unaenda Kisiju hadi huko visiwani Kwale na kama ni hatari ndugu zangu.
Ukisogea Kisarawe, Kibiti, na Rufiji huko ndo hatari zaidi. Kuna siku nilikuwa naenda kwenye Bwawa la umeme huko Rufiji panaogopesha mno. Bado Mapori ya Bagamoyo hadi msata huko ni hatari tupu.
Nashauri serikali ihamishie Kambi za jeshi za Dar huko kama za Lugalo n.k huko usalama wa jiji la Dar na taifa Kwa ujumla, maana wahalifu ni rahisi kujificha humo.
Me natokea Kanda ya ziwa, mkoa wa Kagera tuna vijiji na Mapori ila Kwa mkoa wa Pwani usipime
Ukitoka Dar hapo ukaingia Mkuranga tu Kuna vijiji kama unaenda Kisiju hadi huko visiwani Kwale na kama ni hatari ndugu zangu.
Ukisogea Kisarawe, Kibiti, na Rufiji huko ndo hatari zaidi. Kuna siku nilikuwa naenda kwenye Bwawa la umeme huko Rufiji panaogopesha mno. Bado Mapori ya Bagamoyo hadi msata huko ni hatari tupu.
Nashauri serikali ihamishie Kambi za jeshi za Dar huko kama za Lugalo n.k huko usalama wa jiji la Dar na taifa Kwa ujumla, maana wahalifu ni rahisi kujificha humo.