Mkoa wa Pwani una vijiji na Mapori ya kutisha sana

Mkoa wa Pwani una vijiji na Mapori ya kutisha sana

Kila sehemu Nchi hii ina mapori, nafikiri Hoja ya mtoa mada ni ile accessibility ya Silaha pamoja na urahisi wa barabara mbadala Kwa hao waharifu kuweza kwenda Kujificha huko Pwani.

Mikoa mingine hizo accessibility ni chache.
 
Suala la kuanzisha kambi mpya si suala Baya, ila linahitaji rasilimali pia.
Nadhani tuna changamoto kubwa kwenye. Huduma za kijamii km elimu afya ,malipo ya wastaafu ,Ajira mpya nk. Kuliko hizo kambi.
Kuna wakati mabomu yalilipuka,majibu tulipewa kuwa kambi ziko kiutaratibu kutokana na formation tunatotumia ya kiulizi.

Mkoa WA pwani Una mapori na misitu la hayajazidi kanda za magaharibu au nyanda za juu kusini ukilinganisha Kwa hekta.
Na kuangalia kiwilaya bado wilaya za mkoa wa pwani zinapitwa na wilaya. Za mkoa mingine. Kwa maan
a ya hekta za misitu na mapori rasmi.

Kambi mpya zingekuwa zinafunguliwa dar ,tungesema si vema.
Hata hivyo wakati kambi zinajengwa palikiwa porini .
Mfano ,kisarawe ,kibaha ,kihangaiko ni maeneo ambayo bado Yana kambi za jeshi kubwa. Na yapo mkoa WA pwani hayupo dar

Kambi km gongolamboto na mbadala wakati zinaanzishwa zilikua polini katikati ya msitu mnene wenye wanyama wakali. Na wananchi ndio walizisogelea kambi ila sio kambi kuwafuata wananchi. Hii ilisababishwa na Sababu mbali mbali ikiwemo kujiakikishia usalama. Dhidi ya majambazi. Pia wastaafu WA majeshi

kujenga karibu na kambi ila walipofariki au kuhama wakauzia raia waliotamani kuishi karibu na kambi


Na Kwa mazozezi mengi ya kijeshi Kwa kambi za karibu mbona yanafanyika kwenye mapori ya mkoa WA pwani?au hauna taarifa hiyo?
 
Suala la kuanzisha kambi mpya si suala Baya, ila linahitaji rasilimali pia.
Nadhani tuna changamoto kubwa kwenye. Huduma za kijamii km elimu afya ,malipo ya wastaafu ,Ajira mpya nk. Kuliko hizo kambi.
Kuna wakati mabomu yalilipuka,majibu tulipewa kuwa kambi ziko kiutaratibu kutokana na formation tunatotumi kiulizi.

Mkoa WA pwani Una mapori na misitu la hayajazidi kanda za magaharibu,mtandao za juu kusini ukilinganisha Kwa hekta.
Na kuangalia kiwilaya bado wilaya za mkoa WA pwani zinapitwa na wilaya. Za mkoa mingine. Kwa maan
a ya hekta za misitu na mapori rasmi.

Kambi mpya zingekuwa zinafunguliwa dar ,tungesema si vema.
Hata hivyo wakati kambi zinajemgwa palikiwa porini .
Mfano ,kisarawe ,kibaha ,kihangaiko ni maeneo ambayo bado Yana kambi za jeshi kubwa. Na yapo mkoa WA pwani.

Kambi km gongolamboto na mbadala wakati zinaanzishwa zilikua polini katikati ya msitu mnene wenye wanyama wakali. Na wananchi ndio walizisogelea kambi ila sio kambi kuwafuata wananchi. Hii ilisababishwa na Sababu mbali mbali ikiwemo kujiakikishia usalama. Dhidi ya majambazi.


Na Kwa mazozezi mengi ya kijeshi Kwa kambi za karibu mbona yanafanyika kwenye mapori ya mkoa WA pwani?au hauna taarifa hiyo?
Tujikumbushe tukio Yale mauaji ya Kibiti 2017 yalitishia Amani yetu
Mapori ya Iringa na Pwani ni tofauti maana Pwani ni karibu na mji mkuu wa Tanzania
Kuna population karibu million 7
 
Licha ya huu mkoa kupakana na jiji la Dar es salaam ambalo ndo jiji kubwa Tanzania na Africa Mashariki Kwa ujumla, lakini mkoa wa Pwani unatishia, Mkoa wa Pwani una Mapori mazito yamefunga Giza na ya kuogopesha sana.

Me natokea Kanda ya ziwa, mkoa wa Kagera tuna vijiji na Mapori ila Kwa mkoa wa Pwani usipime
Ukitoka Dar hapo ukaingia Mkuranga tu Kuna vijiji kama unaenda Kisiju hadi huko visiwani Kwale na kama ni hatari ndugu zangu.

Ukisogea Kisarawe, Kibiti, na Rufiji huko ndo hatari zaidi. Kuna siku nilikuwa naenda kwenye Bwawa la umeme huko Rufiji panaogopesha mno. Bado Mapori ya Bagamoyo hadi msata huko ni hatari tupu.

Nashauri serikali ihamishie Kambi za jeshi za Dar huko kama za Lugalo n.k huko usalama wa jiji la Dar na taifa Kwa ujumla, maana wahalifu ni rahisi kujificha humo.
Hata picha moja hakuna?
 
Nimefika Mkuranga, rufiji, kibiti, bagamoyo na Chalinze sijaona hayo mapori yanayosemwa.

Hata kisarawe pia.
Mukuranga, Rufiji na Kibiti Kuna Mapori mazito aisee
Ndg kweli haya maneno hujaona vichaka na Mapori mazito?
 
Nafikiri kama ni Kambi za Jeshi zipo, ama ulikuwa unataka ziongezwe?

1. Kisarawe kuna kambi 2 za jeshi
2. Kibiti kuna kambi moja ya jeshi (Mpakani mwa Kibiti na Rufiji)
3. Rufiji kuna kambi 1. (Nafikiri imeanzishwa hivi karibuni.

Hapa utatuzi ni kuendelea kuongeza usalama tu wa maeneo husika lakini sio kuyaondoa, ingawa yanaendelea kuvamiwa kwa kasi.
Tutabaki jangwani.
 
Nafikiri kama ni Kambi za Jeshi zipo, ama ulikuwa unataka ziongezwe?

1. Kisarawe kuna kambi 2 za jeshi
2. Kibiti kuna kambi moja ya jeshi (Mpakani mwa Kibiti na Rufiji)
3. Rufiji kuna kambi 1. (Nafikiri imeanzishwa hivi karibuni.

Hapa utatuzi ni kuendelea kuongeza usalama tu wa maeneo husika lakini sio kuyaondoa, ingawa yanaendelea kuvamiwa kwa kasi.
Tutabaki jangwani.
Hizo Kambi za jeshi sikujua kama zipo.
Basi kama zipo ni jambo jema naipongeza serikali yetu
 
Licha ya huu mkoa kupakana na jiji la Dar es salaam ambalo ndo jiji kubwa Tanzania na Africa Mashariki Kwa ujumla, lakini mkoa wa Pwani unatishia, Mkoa wa Pwani una Mapori mazito yamefunga Giza na ya kuogopesha sana.

Me natokea Kanda ya ziwa, mkoa wa Kagera tuna vijiji na Mapori ila Kwa mkoa wa Pwani usipime
Ukitoka Dar hapo ukaingia Mkuranga tu Kuna vijiji kama unaenda Kisiju hadi huko visiwani Kwale na kama ni hatari ndugu zangu.

Ukisogea Kisarawe, Kibiti, na Rufiji huko ndo hatari zaidi. Kuna siku nilikuwa naenda kwenye Bwawa la umeme huko Rufiji panaogopesha mno. Bado Mapori ya Bagamoyo hadi msata huko ni hatari tupu.

Nashauri serikali ihamishie Kambi za jeshi za Dar huko kama za Lugalo n.k huko usalama wa jiji la Dar na taifa Kwa ujumla, maana wahalifu ni rahisi kujificha humo.
Mkuu yaani pamoja na Ujanja wako wote hujui kuwa katika hayo Mapori yote Wazee wa Kazi wa Mkunda wapo wengi?
 
Back
Top Bottom