Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huna adabu na humjui King Majuto kabisa. Mkojani hata nusu ya Majuto hajafikahuyo majuto mwenyewe kwa mkojani anasubiri sana
πππ
majuto alikuwa wa kawaida tu labda kamzidi mkojani uzeeHuna adabu na humjui King Majuto kabisa. Mkojani hata nusu ya Majuto hajafika
watz wengi mna-stress mnatafuta watu wa kuvurugana nao bila sababu mpate relief πHuna adabu na humjui King Majuto kabisa. Mkojani hata nusu ya Majuto hajafika
Hakika Mkuu umeongea, yan jamaa alivo tu ukimuona unaanza kucheka, huwa najiuliza sana anapoenda ukweni kwake huwa inakuwaje akifika!Wewe ndio umeongea pointi Tin White ni shida na hatumii nguvu nyingi jamaa anajuaaaaaa
Kwenye moja ya mahojiano ya kituo kimoja cha TV na mzee Majuto miezi michachha kabla ya kufariki, aliwahi kuulizwa ni msanii gni wa vichekesho anayemkubali, akamtaja Brother K a.k.a Mobimba wa Futuhi
Wewe ndio umeongea pointi Tin White ni shida na hatumii nguvu nyingi jamaa anajuaaaaaa
Kama ni hazina awekwe makumbusho ya taifa basiMimi ni mpenzi sana wa sanaa ya maigizo na nilikua nawaza sana baada ya King Majuto ni nan ataweza angalau kuziba pengo kidogo..
Baada ya kumfatilia Mkojani nimeridhika na kazi zake na ninaona future superstaa wa kizaz na kizazi..
Tumpe ushauri huyu jamaa aboreshe wapi na wapi ili kuilinda sanaa yetu ya maigizo ambayo ilianza kupoteza mvuto lakin yeye ameleta radha tofaut ambayo imeongeza ufanisi..
N:B ..Sina self interest na Mkojani
Wa mchambawima mkuu...Ni mbunge wa wapi huyo
Kama Tin hakuchekeshi basi wewe umenizidi ugumuSijui kwa nini hawa jamaa hawa nichekeshagi.
Mimi napenda sana standup comedy zile
πππ utafurahi ukimkuta yeye ni mwenyekiti wa kijiji halafu Nagwa ni mwanakijiji huwa ni balaaHakika Mkuu umeongea, yan jamaa alivo tu ukimuona unaanza kucheka, huwa najiuliza sana anapoenda ukweni kwake huwa inakuwaje akifika!
Unajua mimi nimegundua kitu kwangu.Kama Tin hakuchekeshi basi wewe umenizidi ugumu
Mimi sikuwahai kuchekeshwa na huyo mzee ni muigizaji mzuriHuna adabu na humjui King Majuto kabisa. Mkojani hata nusu ya Majuto hajafika
Na mimi sio zote lkn jamaa anajitahidi huwezi kumfananisha na wapigaji akina MasanjaUnajua mimi nimegundua kitu kwangu.
Mchekeshaji yeyote yule huwa kuna vitu kweli ananichekesha,lkaini kuna vitu nakuta hanichekeshi.
Mfano kuna clip ya tinwaiti alikuwa ugenini akakaribishwa maziwa aandalaiwe akapiga sarakasi akasema "mambo ya maziwa mwee" ile ilinichekesha sana.
Lakini unakuta kuna zingine naziona kawaida tu.
Hahaaaa....aiseeeeeeYa Mungu Mengi huwezi jua ...Labda huenda ikawa Periodic table....!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]majuto alikuwa wa kawaida tu labda kamzidi mkojani uzee
Ahaa. Basi inaonyesha anawapelekesha sana huko bungeniWa mchambawima mkuu...