Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi Jana kwenye Satco Kahama to Dom nimesikitika sanaa😁 Pambafu huyu. Nipo natoka mkoani fiamu yake moja yaani ina hadi part 3 na ya dk 20 20 hivi, halafu upupu mtupu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu jamaa kwa mwezi mmoja anatoa muvi 25
Kwa kweli tunatofautiana sana,sasa huyo Mkojani unamkubali kwa kipi??yaani nikisikiaga sauti yake kwenye basi ni heri niweke Earphone nisikilize matangazo ya vifo,sijui hata anaigizaga niniHuyu jamaa namkubal sana.Ingawa mimi simpenz wa bongo movie ila huyu mshkaji hapana
Ahahaha mkuu kwakwel hata mimi sikudhan kama ningefikia hatua hii ila ni baada ya kumfuatilia kazi zake..jamaa anavichekesho sanaKwa kweli tunatofautiana sana,sasa huyo Mkojani unamkubali kwa kipi??yaani nikisikiaga sauti yake kwenye basi ni heri niweke Earphone nisikilize matangazo ya vifo,sijui hata anaigizaga nini
Kipemba kiingii..weye weye mmmh weye weyeeMaigizo yake hayana maudhuinyoyote hata huwa sielewi anafundisha nini kupitia sanaa yake
Sijawahi kuona anachochekesha zaidi ya UHARO tuAhahaha mkuu kwakwel hata mimi sikudhan kama ningefikia hatua hii ila ni baada ya kumfuatilia kazi zake..jamaa anavichekesho sana
Ahahahahahah...tatizo mkuu mko na mambo serious sanaaa ndio maana..sie huku uswahilin unatufurahisha sana chiefSijawahi kuona anachochekesha zaidi ya UHARO tu
[emoji23]Kwa kweli tunatofautiana sana,sasa huyo Mkojani unamkubali kwa kipi??yaani nikisikiaga sauti yake kwenye basi ni heri niweke Earphone nisikilize matangazo ya vifo,sijui hata anaigizaga nini
ChatoNi mbunge wa wapi huyo