Hahahahaha!!huo mkojo umeshashikwa na CCM hakuna kesi ya kuvuta bangi tena hapo wakauweke lumumba tu kwa ajili ya makumbusho
Waulize Chadema!!Eti mwanasiasa, hivi wema ni mwanasiasa wa nini?
Ushahidi wa mkojo wa mwanasiasa Wema Sepetu umezusha mabishano ya kisheria baada ya Wakili Albert Msando kumhoji Inspekta wa polisi kama alikuwepo wakati mkojo huo " unapatikana na kuchukuliwa". Inspekta alidai hakuwepo ila umeletwa mahakamani na mkemia kama ushahidi. Kesi hiyo imeahirishwa hadi tarehe 26 na 27/02/2018 itakapoendelea kusikilizwa.
Chanzo: Clouds tv!
Hii ni danganya toto mradi ashaenda Fisi M she's safe. Hata akitaka gharama za usumbufu atalipwaWema hakushauriwa vizuri. Angekiri kosa angeishia kupigwa faini isiyozidi milioni moja. Ila kwa sasa atatumia gharama kuubwa kuendesha hiyo kesi.
Itabadi akojoe tena..!???Yaani mkojo unatunzwa kama ushahidi au sikuelewa? Kinachoongelewa mahakamani sio matokeo ya vipimo vya huo mkojo?
Halafu waonje kwa kunywa mikojo yote miwili waone kama inafananaItabadi akojoe tena..!???
Anajaribu kujisafisha kwa gharama kubwaWema hakushauriwa vizuri. Angekiri kosa angeishia kupigwa faini isiyozidi milioni moja. Ila kwa sasa atatumia gharama kuubwa kuendesha hiyo kesi.
Kwani gharama yake? Kwa sasa wakili wake ni kama yeye wema walirudi wote kundini hivyo pesa ya kodi yako na yangu italipa.Wema hakushauriwa vizuri. Angekiri kosa angeishia kupigwa faini isiyozidi milioni moja. Ila kwa sasa atatumia gharama kuubwa kuendesha hiyo kesi.
wanachama wa ccm sijui uwa mnaakiri gani? mambo yenu ya ajabu ajabu. ...sijui mnamuigaga Juma maharage.Nitapata wapi Chupa hiyo iliyo na ' Mkojo ' wa Madam Sepenga niupigie ' Nyeto ' niweze Kupizi?