Mkojo wa Wema Sepetu wazua utata mahakamani!


Ndio hapo atakapohukumiwa ana hatia wakati amerudi kujipendekeza kwa BAshite ili ashinde kesi!.

Kwa kuwa kabadilisha chama. Msando hapa ahana shughuli. NI kuomba tu wachukue mkojo wa sasa, baada ya kuzaliwa upya ccm. Bila shaka mkojo huo hautakuwa hata na dead cells!. Clear and pure kuliko hata distilled H2O.
 
Hii kesi itakuwa njia ya wengi ... kwenye sheria ya haya mambo mbeleni.. wenye akili naamini wataitumia.. tusubiri mwisho wake..
 
Hamna kesi tena hapo! Danganya toto tu hiyo
 
Yaani mkojo unatunzwa kama ushahidi au sikuelewa? Kinachoongelewa mahakamani sio matokeo ya vipimo vya huo mkojo?
 
Mambo mengine mazito....

Mkojo wa wema kabisa mtu anaubeba!???

Ptaaaaa...
 
Yaani mkojo unatunzwa kama ushahidi au sikuelewa? Kinachoongelewa mahakamani sio matokeo ya vipimo vya huo mkojo?
Itabadi akojoe tena..!???
 
Wema hakushauriwa vizuri. Angekiri kosa angeishia kupigwa faini isiyozidi milioni moja. Ila kwa sasa atatumia gharama kuubwa kuendesha hiyo kesi.
Kwani gharama yake? Kwa sasa wakili wake ni kama yeye wema walirudi wote kundini hivyo pesa ya kodi yako na yangu italipa.
 
Nitapata wapi Chupa hiyo iliyo na ' Mkojo ' wa Madam Sepenga niupigie ' Nyeto ' niweze Kupizi?
wanachama wa ccm sijui uwa mnaakiri gani? mambo yenu ya ajabu ajabu. ...sijui mnamuigaga Juma maharage.
 
Anyweshwe tu huo mkojo wake ni dawa ya "asazi",kesi iishie hapo fasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…