Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeep Cherokee (New Model)
CC 4.5
Turbo Charged
Speed 220
** **
Ajipange vzur kwenye maintainance na running expenses habar ya mafuta ya elf 20 hapa hakuna....!!!
Na pesa zenyewe kama anategemea show za muziki tu (sikumbuki show yake ya mwisho alifanya wapi) na uo u producer itakula kwake, maana kashakuwa mume wa mtu ana mke na mtoto , so asije ilaza njaa familia yake kwa ajil ya kuuza sura , kwanza hayo mambo angewaachia wakina diamond vijana, kipato chake chenyewe cha kubangaiza, yote hayo awaumize roho watu , asije kuumia yeye tu, maana mke wake alikuwa analalamika hata maziwa ya kopo ya mtoto hanunui na mke wake hamjali, sasa hilo gari sijui itakuwaje...
yani binadamu bwana.
nyie mlitaka anunue starlet au?? kama ameamua kulinunua hilo gari alijua fika atafanyaje ili aweze kulimaintain.. yan as if nyie ndo mnampa hela..
hata kama kanunuliwa na b.a.s.h.a wake, na wewe tafuta wako akununulie..
Mke wake ndie aliyeyaanika kua huyu bob ana mahusiano na wanaume wenzie na ndio sababu ya kuachwa na mkeweee
Na familia yake haihudumii ipasavyo, kama kopo la maziwa ya mtoto anashindwa kununua, gari atanunua sa ngapi? Roho imemuuma kisa diamond kahongwa v8, na yeye karudisha mapigo eti.. job true true
Mweeee...!!! We unazo line zote mbili si utakuwa umehongw a meli tena cruise??
Duh wanashindana kuhongwa......
ha ha ha
Unajua binamu nipo public area halafu peke Yangu , usifanye watu wanione hamnazo