Wafanyakazi wa serikalini na baadhi ya makampuni huwa wanakatwa pesa kila mwezi kwenye mishahara yao kwa ajili ya malipo yao ya mafao ya kujikimu wakistaafu.
Mafao wanayopewa kwa mkupuo moja huwa ni fedha nyingi sana mfano milioni 200, 150, 100, 50, 30, n.k. kulingana na kazi walizofanya.
Wengi wanapopata pesa hizi, matumizi ya mwanzoni hununua gari, kujenga / kukarabati nyumba, kujaza fenicha, n.k. Baada ya hapo wazo linawajia la kufanya biashara lasivyo pesa zitaisha.
Biashara ni kitu kipana, Mbali na fedha za mtaji biashara inahitaji Ujuzi, Uzoefu, Maarifa, Connections na Taarifa za Kutosha, kuvipata vitu hivi kwa inabidi uwe na biashara miaka takribani 10 wakati upo kazini kusudi ukistafu tayari una experience ya kutosha, Ukipewa mafao huendi kuanza, unaenda kujipanua.
Tatizo linapokuja ni kwamba wastaafu wengi walizoea mishahara na posho hawana uzoefu wa Biashara, Hapo ndipo ukikosea step mkong'oto haukwepeki.
Mzee anaona anunue bajaji / bodaboda bila kuzijua stress za vijana walivyo wasumbufu, Mzee anafungua duka kubwa bila kujua ushindani ulivyo, Mzee anafungua biashara bila kujali location, wengine wanaugulia maumivu kimya kimya ya kuingizwa chaka na watoto wa mjini kama ilivyo kwa wafanyabiashara wengi wageni, n.k.
Mafao yote yamedumbukizwa kwenye biashara ambazo hawana uzoefu nazo, stress zinaanza kuwatafuna kwa speed ya 4g kuanzia changamoto za wafanyakazi wezi, hawajakaa sawa taskforce ya Tra wanachomoa kodi zao kwenye account za benki, washindani wanauza mzigo kwa bei chee, n.k.
Mafao wanayopewa kwa mkupuo moja huwa ni fedha nyingi sana mfano milioni 200, 150, 100, 50, 30, n.k. kulingana na kazi walizofanya.
Wengi wanapopata pesa hizi, matumizi ya mwanzoni hununua gari, kujenga / kukarabati nyumba, kujaza fenicha, n.k. Baada ya hapo wazo linawajia la kufanya biashara lasivyo pesa zitaisha.
Biashara ni kitu kipana, Mbali na fedha za mtaji biashara inahitaji Ujuzi, Uzoefu, Maarifa, Connections na Taarifa za Kutosha, kuvipata vitu hivi kwa inabidi uwe na biashara miaka takribani 10 wakati upo kazini kusudi ukistafu tayari una experience ya kutosha, Ukipewa mafao huendi kuanza, unaenda kujipanua.
Tatizo linapokuja ni kwamba wastaafu wengi walizoea mishahara na posho hawana uzoefu wa Biashara, Hapo ndipo ukikosea step mkong'oto haukwepeki.
Mzee anaona anunue bajaji / bodaboda bila kuzijua stress za vijana walivyo wasumbufu, Mzee anafungua duka kubwa bila kujua ushindani ulivyo, Mzee anafungua biashara bila kujali location, wengine wanaugulia maumivu kimya kimya ya kuingizwa chaka na watoto wa mjini kama ilivyo kwa wafanyabiashara wengi wageni, n.k.
Mafao yote yamedumbukizwa kwenye biashara ambazo hawana uzoefu nazo, stress zinaanza kuwatafuna kwa speed ya 4g kuanzia changamoto za wafanyakazi wezi, hawajakaa sawa taskforce ya Tra wanachomoa kodi zao kwenye account za benki, washindani wanauza mzigo kwa bei chee, n.k.