Mkong'oto wanaotembezewa wastaafu wanaotumia mafao kuanzisha biashara ni funzo kwamba uzoefu ni muhimu, Biashara zinabuma stress zinawamaliza wazee !

Mkong'oto wanaotembezewa wastaafu wanaotumia mafao kuanzisha biashara ni funzo kwamba uzoefu ni muhimu, Biashara zinabuma stress zinawamaliza wazee !

Si wastaafu peke yao. Kuna vijana wanauza nyumba za urithi na wengine hupata hata milioni mia moja.
Hizi pesa zinawarusha akili. Wenyewe wanasema anasafisha nyota. Atanunua gari. Matumizi yanafikia laki nne kwa siku. Baada ya miezi sita mpaka mwaka pesa ishakwisha. Anauza gari, luninga na vyengine kwa robo ya bei.
 
Wazee Hawa nawafahamu vizuri wakiwa makizini huwa wanahisi wafanyabiashara wanaibia serikali kwa kutokutoa risiti halali wakistaafu na wao huwa wanajaribu kuingia wao wanazani biashara zinaleta utajiri wa haraka haraka
 
This was bad, really bad
Kabisa, vibaya sana.....

Nafsi yangu ilijisikia kudhalilika sana, yani napiga simu kusalimia inapokelewa eeeh unasemaje😹, dah nilikaa kando almost a year, baada ya kuisha ndo tukaanza kuwasiliana vizuri haloo haujambo mwanangu usiwe unakaa kimya hivyo

Mi ndo maana huwa sijipi umuhimu kwa mtu jamani, mama, ndugu, mme sijipi umuhimu kabisa.....labda nitakomaa kujipa kwa watoto ila kwingine hapana.

Sitaki kudhalilika kwa namna yoyote ile. Mtu akiona mimi nafata chochote kwake basi nakua wa kwanza kumkimbia kabisa.
 
Kabisa, vibaya sana.....

Nafsi yangu ilijisikia kudhalilika sana, yani napiga simu kusalimia inapokelewa eeeh unasemaje[emoji81], dah nilikaaka kando almost a year, baada ya kuisha ndo tukaanza kuwasiliana vizuri haloo haujambo mwanangu usiwe unakaa kimya hivyo

Mi ndo maana huwa sijipi umuhimu kwa mtu jamani, mama, ndugu, mme sijipi umuhimu kabisa.....labda nitakomaa kujipa kwa watoto ila kwingine hapana.

Sitaki kudhalilika kwa namna yoyote ile. Mtu akiona mimi nafata chochote kwake basi nakua wa kwanza kumkimbia kabisa.
Alijua sasa kama kuna sehem alizingua?
 
Ambayo ukijumlisha miaka 60 ya kustafia anakuwa 72 umri wa kufa kabisa huu lkn pia bado 1/4 ya mshahara wake pension ya kila mwezi. Ata bila kuwekeza kwenye biashara anaweza ku survive yeye na mke wake.
72 si unri wa kufa, unless ulikuwa na afya mbovu tokea zamani. I have close relative at that age na wako vizuri wengine wanapiga gia kama kawa
 
Wengi wao maisha yao yote walikuwa wanategemea mishahara ama kuwa na zile biashara za kutesti .

Matokeo yake wanapostaafu wakiwa kwenye 50s au 60s inabidi waanze kujitaufta upya kwa mafao wanayopewa.

Kwa wastani wengi huwa wanaambulia mafao milioni 20 hadi 50

Hapo kichwa huwa kinawaka moto wafanye biashara ipi, huwa waan utofauti mdogo sana na wanachuo wanaoingia mtaani kwa mara ya kwanza kuanza biashara, walichotofautiana ni mitaji tu.

Mzee anaona anunue bajaji / bodaboda bila kuzijua stress za vijana walivyo wasumbufu, Mzee anafungua duka anaweka mtaji wa milioni 50 bila kujua ushindani ulivyo, Mzee anaingizwa mjini na watoto wa mjini, n.k.

Biashra zikifiliska, presha na stress huwatafuna bila huruma
CCM hoyee! Huu ujinga uko Tanzania tu ambako kila mwananchi analazimika kuwa mfanyabiashara. Nchi nyingine ukistaafu unapata pension ya kila mwezi ambayo inakaribiana na mshahara uliokuwa unapata. Yaani ukiwa mfanyakazi hutahangaika tena kujazia pato lako na biashara. Wastaafu wengi unakuta wanatumia muda wao kusafiri duniani na kula raha wakati sisi ndiyo wanaanza kujitafuta kwenye biashara. Mkiambia CCM ni janga mnaleta ushabiki wa kijinga kabisa. Wacha wale walichopanda kwani wengi ni husaidia wizi wa kura. Japo sisemi kuwa chama kingine kikiingia hali itakuwa nzuri ghafla lakini ushindani wa vyama kwenye kutawala ndiyo huleta mabadiliko.
 
Mi ndo maana huwa sijipi umuhimu kwa mtu jamani, mama, ndugu, mme sijipi umuhimu kabisa.....labda nitakomaa kujipa kwa watoto ila kwingine hapana.

Sitaki kudhalilika kwa namna yoyote ile. Mtu akiona mimi nafata chochote kwake basi nakua wa kwanza kumkimbia kabisa
Unaishi maisha mazuri sana huwa naishi hivyo pia.

Nakumbuka mzee miaka michache kabla ya kustaafu aliitisha kikao na alisema kutokana na ugumu uliopo kwenye soko la ajira ameona akistaafu atafanya investment ambazo tutaajiriwa ndani yake ila baadae akabadilisha uelekeo na kusema hatofanya chochote yeye alishatusomesha inatosha sana na hatotoa hata Tsh 100 maana kazi alifanya yeye na hela ni zake, haikuwa na athari yeyote kwetu watoto kwa sababu kati yetu hakuna aliekuwa na interest na jambo lake.

Kufupisha story nilikuja kujua mzee alishapata mafao baada ya mwaka kupita baada ya kuwa na safari zisizoeleweka mikoani mara kwa mara. Siku moja nikakutana na rafiki yake mkoani akaniambia mzee kamboost sana kwenye biashara zake alimpa 5m. Itaendelea
 
Unaishi maisha mazuri sana huwa naishi hivyo pia.

Nakumbuka mzee miaka michache kabla ya kustaafu aliitisha kikao na alisema kutokana na ugumu uliopo kwenye soko la ajira ameona akistaafu atafanya investment ambazo tutaajiriwa ndani yake ila baadae akabadilisha uelekeo na kusema hatofanya chochote yeye alishatusomesha inatosha sana na hatotoa hata Tsh 100 maana kazi alifanya yeye na hela ni zake, haikuwa na athari yeyote kwetu watoto kwa sababu kati yetu hakuna aliekuwa na interest na jambo lake.

Kufupisha story nilikuja kujua mzee alishapata mafao baada ya mwaka kupita baada ya kuwa na safari zisizoeleweka mikoani mara kwa mara. Siku moja nikakutana na rafiki yake mkoani akaniambia mzee kamboost sana kwenye biashara zake alimpa 5m. Itaendelea
Wazee kabla hawajapata mafao wanakuaga na mipango mizuri sana (sometimes na sisi wengine pia kabla ya kushika hela mipango kabambe imenyoooka kama rula ngoja hela ije mkononi sasa sijui ibilisi anatokeaga wapi)

Shangazi yangu: mipango ilikua anunue mashine ya kusaga tena enzi hizo daaah angekua don, baada ya kupata mafao ikawa ni kupika wali wa rangi tu leo wa kijani kesho mwekundu hatimae pesa zikaisha salama.

Bi mdashi: kwakua ametusomesha kwa kufuga tukaona ni vema aendelee na kazi yake, plan afuge kitimoto, kuku wa kutosha chakula cha mifugo kijae hapo, aishi bila mawazo kabisa....
Kilichotokea daaaah.....niseme tu nae kwakweli pesa ziliisha salama.
 
Back
Top Bottom