Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Genta njoo uone jamaa zako wamechukua mpira wao wamesepa.Mchezaji wa Azam FC Edward Manyama amevunjika mkono kwenye mchezo wa kirafiki wa Kimataifa dhidi ya Stade Tunisien uliochezwa huko Tunisia.
Katika mchezo huo Refa alishindwa kuumudu kwa mujibu wa Afisa Habari wa Timu hiyo Hasheem Ibwe ambaye kaenda mbali zaidi kwa kudai kuwa haukuwa mchezo wa kirafiki. Na mpaka unavunjwa tayari Stade Tunisien walikuwa mbele kwa magoli 4 dhidi ya 1 la Azam.
Goli la 4 ndiyo chanzo cha mzozo kwani Azam FC hawakukubaliana.
Bakhresa bora akaichukue Simba tuMchezaji wa Azam FC Edward Manyama amevunjika mkono kwenye mchezo wa kirafiki wa Kimataifa dhidi ya Stade Tunisien uliochezwa huko Tunisia.
Katika mchezo huo Refa alishindwa kuumudu kwa mujibu wa Afisa Habari wa Timu hiyo Hasheem Ibwe ambaye kaenda mbali zaidi kwa kudai kuwa haukuwa mchezo wa kirafiki. Na mpaka unavunjwa tayari Stade Tunisien walikuwa mbele kwa magoli 4 dhidi ya 1 la Azam.
Goli la 4 ndiyo chanzo cha mzozo kwani Azam FC hawakukubaliana.
ayo mapesa aje adhamini jamiiforums veteran fcBakhresa angeachana na hiyo timu maana ina kila kitu ila hawajitambui, mchezo haukimbiwi
Azam wangeendelea na mchezo wangepigwa zaidi ya bao 20 - 1Mchezaji wa Azam FC Edward Manyama amevunjika mkono kwenye mchezo wa kirafiki wa Kimataifa dhidi ya Stade Tunisien uliochezwa huko Tunisia.
Katika mchezo huo Refa alishindwa kuumudu kwa mujibu wa Afisa Habari wa Timu hiyo Hasheem Ibwe ambaye kaenda mbali zaidi kwa kudai kuwa haukuwa mchezo wa kirafiki. Na mpaka unavunjwa tayari Stade Tunisien walikuwa mbele kwa magoli 4 dhidi ya 1 la Azam.
Goli la 4 ndiyo chanzo cha mzozo kwani Azam FC hawakukubaliana.
Kwa hiyo nini kilichosababisha mchezo kuvunjwa, Goli la nne au Edward Manyama kuvunjika mkono?Goli la 4 ndiyo chanzo cha mzozo kwani Azam FC hawakukubaliana.Mkono wa Edward Manyama wasababisha mchezo kuvunjwa