Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Mchezaji wa Azam FC Edward Manyama amevunjika mkono kwenye mchezo wa kirafiki wa Kimataifa dhidi ya Stade Tunisien uliochezwa huko Tunisia.
Katika mchezo huo Refa alishindwa kuumudu kwa mujibu wa Afisa Habari wa Timu hiyo Hasheem Ibwe ambaye kaenda mbali zaidi kwa kudai kuwa haukuwa mchezo wa kirafiki. Na mpaka unavunjwa tayari Stade Tunisien walikuwa mbele kwa magoli 4 dhidi ya 1 la Azam.
Goli la 4 ndiyo chanzo cha mzozo kwani Azam FC hawakukubaliana.
Katika mchezo huo Refa alishindwa kuumudu kwa mujibu wa Afisa Habari wa Timu hiyo Hasheem Ibwe ambaye kaenda mbali zaidi kwa kudai kuwa haukuwa mchezo wa kirafiki. Na mpaka unavunjwa tayari Stade Tunisien walikuwa mbele kwa magoli 4 dhidi ya 1 la Azam.
Goli la 4 ndiyo chanzo cha mzozo kwani Azam FC hawakukubaliana.