Waungwana naomba mwenye kukopesha kwa riba nafuu anikope mil. 1 niwekeze kwenye biashara ya duka la chakula. Nina uwezo wa kurejesha laki 4 kila mwezi kutoka kwenye mshahara wangu, pia napata vi safari vya hapa na pale kazini ambavyo vinanipatia posho itakayosaidia kumaliza deni haraka huku nikizungusha pesa ya mkopo kwenye biashara. Nataka nilipe deni lote na riba ndani ya miezi 4. Sina dhamana isiyohamishika wala gari isipokuwa mshahara wangu tu na pia biashara bado mpya hivyo siwezi kukopa benk wala taasisi za fedha kwa sasa. Yeyote anayeweza kunikopesha aniPM. Nipo Magomeni DSM.