Mkopo NMB: Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !

Mkopo NMB: Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !

Status
Not open for further replies.
Kama naiona vile salary slip yako ilivyojaa makato mkuu. Pole[emoji23]
 
Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !

Umaskini hauishi kamwe.

Hello Hivi punde,

Pole kwa tatizo lililokukuta,tafadhali tunaomba taarifa kamili za mkopo wako, tawi walipokusaidia kupata mkopo na mawasiliano yako unayopatikana ( namba za simu ) tuweze kufuatilia na kutatua changamoto zilizopo,

Tafadhali tutumie PM tukusaidie.

Asante sana
 
Mmhhh mbona km Unaibiw Crdb Mkopo M12.7 makato 259 miaka 7 inarudishwa My 21 ss ww iwe hvyo kapige hesabu vzr
NMB ukipiga hesabu hutofautiana kati ya mhudumu mmoja na mwingine.
Siku moja nilitaka kukopa 17m kwa miaka 6 nikaambiwa riba 394,000 kwa mwezi sawa 28.4m.

Siku nilipoenda kuchukua nikaambiwa riba 405,000 kwa mkopo uleule. Nikalala mbele.
 
Hello Hivi punde,

Pole kwa tatizo lililokukuta,tafadhali tunaomba taarifa kamili za mkopo wako, tawi walipokusaidia kupata mkopo na mawasiliano yako unayopatikana ( namba za simu ) tuweze kufuatilia na kutatua changamoto zilizopo,

Tafadhali tutumie PM tukusaidie.

Asante sana
Mpo juu NMB sana,kumbe jf mmo ishu ya huu mkopo ime trend

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Mkopo NMB : Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !

Umaskini hauishi kamwe.

======

UPDATES:
PV 9,000,000.00
FV 18,000,000.00
NPER 72.00
PMT 250,000.00
Rate??
Rate
-1%​
-11%​
Wako sawa kabisa
 
Huu ni uongo eti umekopa mil9 kwamiezi 6x250,000=ni 1,500,000 hio mil 18 kwa hesabu ipi mkuu au umejichanganya
Wewe ndio umejichanganya
Hesabu ipo ivi:-
06x12x250,000=18,000,000
Yaaani kila mwaka wa Kuna njia ya I=PRT÷100
Iyo interest unazidisha na mkopo wa mwanzo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom