Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,603
Najiuliza swali hili kwamba wafanyakazi kwenye mabenki yetu Tanzania wanaelewa kwamba benki kutoa mkopo kwa mtaje ni biashara kwa hiyo benki?
Sababu za swali hili ni kama ifuatavyo:
1. Wateja huwanyenyekea sana maafisa mikopo kama kwamba pesa watakayokopa haitorudishwa, tena kwa riba kubwa
2. Maafisa mikopo asiponyenyekewa basi mteja huyo aweza nyimwa huo mkopo
3. Watu wa kitengo cha mikopo wanapokea rushwa na kuna kipindi wanataka wapewe pesa yao kabla hata mteja hajapewa mkopo
4. Hata pale ambapo afisa mikopo hajaomba rushwa lakini utakuta ana mtail-gate mteja siku hela inapoingizwa kwenye akaunti. Mpaka mteja anashindwa kuondoka bila kumpa pesa
5. CEOs kwenye mabenki yetu, nao wanakula rushwa hasa pale ambapo mkopo ni mkubwa
Ikumbukwe kwamba riba za Tanzania ni kubwa na hii inatokana na kwamba mfumuko wa bei pia ni mkubwa. Na wateja mara nyingi wanatakiwa kuanza rejesha malipo ya mkopo hata kabla ya pesa waliyokopa kuzaa. Mfano mteja anaenda Uturuki kununua bidhaa, wakati mzigo upo melini unaletwa yeye ameisha rejesha malipo ya miezi miwili.
Lakini swali langu ni kwa bankers wetu. Je wanaelewa kwamba wakopaji ni wateja? Na je wanajua kwamba Interest Income itokanayo na mikopo ndiyo inayolipa mishahara yao, matibabu yao na familia zao?
Wanajamvi hebu tusaidiane kufikisha ujumbe.
Sababu za swali hili ni kama ifuatavyo:
1. Wateja huwanyenyekea sana maafisa mikopo kama kwamba pesa watakayokopa haitorudishwa, tena kwa riba kubwa
2. Maafisa mikopo asiponyenyekewa basi mteja huyo aweza nyimwa huo mkopo
3. Watu wa kitengo cha mikopo wanapokea rushwa na kuna kipindi wanataka wapewe pesa yao kabla hata mteja hajapewa mkopo
4. Hata pale ambapo afisa mikopo hajaomba rushwa lakini utakuta ana mtail-gate mteja siku hela inapoingizwa kwenye akaunti. Mpaka mteja anashindwa kuondoka bila kumpa pesa
5. CEOs kwenye mabenki yetu, nao wanakula rushwa hasa pale ambapo mkopo ni mkubwa
Ikumbukwe kwamba riba za Tanzania ni kubwa na hii inatokana na kwamba mfumuko wa bei pia ni mkubwa. Na wateja mara nyingi wanatakiwa kuanza rejesha malipo ya mkopo hata kabla ya pesa waliyokopa kuzaa. Mfano mteja anaenda Uturuki kununua bidhaa, wakati mzigo upo melini unaletwa yeye ameisha rejesha malipo ya miezi miwili.
Lakini swali langu ni kwa bankers wetu. Je wanaelewa kwamba wakopaji ni wateja? Na je wanajua kwamba Interest Income itokanayo na mikopo ndiyo inayolipa mishahara yao, matibabu yao na familia zao?
Wanajamvi hebu tusaidiane kufikisha ujumbe.