Mkopo wa dharura unahitajika. Dhamana ni nyumba iliyopo Dar es Salaam

Mkopo wa dharura unahitajika. Dhamana ni nyumba iliyopo Dar es Salaam

Matter of the fact ni kuwa hao jamaa wakipewa hiyo pesa hawatalipa na mkopeshaji hutaweza kudai nyumba iliyowekwa kama dhamana , na haya mtoa mada unayedhanini hili pambano utamruka mkopeshaji,. Kuna loopholes kibao umejitengenezea ulipo wakilisha hii mada .
 
Kama kuna kundi flani umelilenga sawa
Ngoja niishie hapa .
Mtu makinj haingii kwenye mtego kama huu.
Wkati unahangaika na ramli hapa, tayari nina watu 3 inbox wanahitaji link. Kama wwe hayakuhusu, waachie wahusika. Tabu ya nini?

Pengine hujui, fedha ni m5. Kwako ni nyingi kiasi cha kukufanya upate kitete hadi mtu mzima asiende kutapeli ma millioni mengi ajiandae kutapeli 5m? Huu ni udhalilishaji.

Kikubwa elewa kwamba, watu hpata shida hata ya kuazima koleo kwa jirani. N amtu anayewaza uovu tu kwa kila mtu, hufa maskini wa kutupwa.

Kwa taarifa yako, niliwahi kufanya hiyo biashara kule nyuma na mmoja wao ni mteja wangu na ndiyo sabbu alikuja kuniona. Bahatai mbaya sifanyi tena hiyo shughuli lakini haina maana kwamba sielewi watu wenye shida na dynamics zilizoko kwenye industry.

Kama wewe hujawahi kuwa na shida halali ama hujawahi kuwa mwaminifu kwa mali za watu wengine, ni matusi makubw akwa nafsi yako kudhani dunia nzima iko vile.

Nimeshawapa namba za mawasilian walioonyesha interest ya biashara.

Nitawashukuru wote waliosoma na kuonyesha kujali na ama kutaka kujifunza. Lakini yale majuha yanayodhani yanajua kila kitu kumbe ni sifuri kwenye hili eneo, nawapa pole na Mungu awasaidie mtumie muda wenu kutafuta maarifa badala ya kuonyesha mwisho wa ufahamu.
 
Ndugu zangu, nimefikiwa na watu wanahitaji shilingi milioni tano (5,000,000) kwa shughuli za kibiashara. Wanasema wako tayari kulilpa mkopo huo kwa riba ya miezi miwili. Nilipowahoji, ili kuwasaidia, wakasema

1) Wanamazao yao ya biashara wanatakiwa kuyaweka sawa na kuyafikisha sokoni kabla mvua haijakolea.

2) Wanahitaji shilingi milioni tano kwa mpigo na kwa haraka.

3) Wana mtu mmoja anayewaelewa na hivyo ametoa nyumba yake iwadhamini katika mkopo huo.

4) Wamejaribu kutafuta kwa wakopeshaji binafsi wanaambiwa wanatakiwa kuwa na dhamana ya gari ambapo ili wapate huo mkopo, hitaji ni kwamba wapeleke gari la dhamana lika paki kwa mkoopeshaji na hati ya gari, na waandikishiane kwamba gari hilo wamemuuzia mkopeshaji, eti ili kama wasipolipa auze chapu chapu. Bahati mbaya hawana mtu mwenye gari miongoni mwao. Mazao hayo wanategemea yawasimamishe.

Kwa kuwa mimi sina uwezo wa kuwakopesha, nimeona nilete hapa jamvini. Kama kuna mtu mwenye nia ya kutoa mkopo huo bila hila, kwa utaratibu wa wazi kwamba miezi 2 alipwe na riba yake, la sivyo nyumba ya dhamana iwe halali yake, naomba ani inbox, ili nimuunganishe na hao wateja.

Natanguliza Shukrani.
Njoo pm tufanye Biashara mkuu
 
Naona una makasiriko mengi na mjuaji watu huku wanaku zoom tu
Do you think I am at tht level? What exactly do you want from me, woman? My thread was neither for discussion nor a tour center for low mindsets. It was straightforward a request on trying to help my esteemed customers whom I could not serve. Are you emotionally beaten? Find something else rather than clinging on my neck for things that are even not in your capacity.

Nenda katafute udaku insta, ushinde huko an wanawake wenzako wa aina yako. Sina muda wa kipumbavu. Niliandika uzi kwa sababu, na sasa watu wanaendelea an maongezi yao nimeshawalink. Wewe unabaki kuanika upungufu wako kichwani, una tatizo gani mwanamke?

Ficha uelewa wako mdogo na kukosa kwako exposure kwa kuepuka kutafuta malumbano na watu kwa mambo yasiyokuhusu.
 
Yaani umeshindwa kwenda kwenye taasisi za mikopo huko kwa wenye fani, umetuletea sisi tusio na fani na bado unatuchamba.
Sasa kama unajua inabidi mtu awe na fani kwanini usiende huko kwenye taasisi husika?

Huwezi kuelewa wewe, it takes years and so so kuiuelewa mbinu hii ya upigaji.
 
Hesabu rahisi, uza nyumba na hela itayopatikana kiasi unaenda lipia mkopo...

(Wa)Akipata faida kwenye hayo mazao, (wa)ongeeze katika hela (wa)aliyouza nyumba na (wa)anunue nyumba nyingine...
 
Mleta mada nilijua yupo bize kutafuta suluhu ya Jambo lake

Kumbe yupo kujibizana na watu

Kifupi humu hakuna msaada nenda kwenye taasisi husika za mikopo


Mkopaji mwingine mwenye dhamana ya mkopo mwingine


Siku ya kudaiana sijui atadaiwa Nani?

....dalili za kuibiwa....
 
Sifa za matapeli.

1. Wanajua udhaifu uliopo kwenye sheria.
2. Wanalugha ya ushawishi mwanzoni kisha hufuatiwa na matusi na ukali kwa kadiri shabaha yake inapoyumbishwa.
3. Hawapokei ushauri na huwa hawatoi mwanya huo.
 
Back
Top Bottom